Nina mtoto naye wa miezi 9 na ninampenda, ila anamwanamke mwingine na mtoto wa miezi 11, nifanyaje?

Nina mtoto naye wa miezi 9 na ninampenda, ila anamwanamke mwingine na mtoto wa miezi 11, nifanyaje?

ai kashasema hawezi kumuacha sasa sie tumshauri nini jamani dear!! asubirie tu labda cheusi kinaweza badilika kikawa chekundu.

hapo chacha!! halafu anaongezea kabisa kuwa jamaa ni muhuni na hampendi kama yule mwingine

au anataka tumsaidie maombi na dua jamaa ampende
 
hapo chacha!! halafu anaongezea kabisa kuwa jamaa ni muhuni na hampendi kama yule mwingine

au anataka tumsaidie maombi na dua jamaa ampende

ahahaha ndo mana nikasema labda anataka cheusi kiwe chekundu jambo ambalo haliwezekani
 
Ninamtoto nae wa miez 9, tuko nae mikoa tofauti nampenda sana. Huyu kaka ni muhuni sana anamwanamke tena kazaa nae anamtoto wa miez 11 yeye wanafanya nae kazi sehemu moja. Huyu jamaa nampenda sana japo yeye haonyeshi interest ya kuishi na mimi najikuta na wakati mgumu kwani pamoja na tabia yake bado nampenda sana .

Anavyo onekana anampenda yule mwanamke japo hawaishi pamoja, moyo wangu unakua mgumu kumuacha sijui nifanyaje kwani najua kabisa hanipendi yupo kwa ajil ya mwanae tu isitoshe naona na nae mara 1 kwa miezi hata 5 but sijui kwanini nampenda to death, niendelee tu kubanana hapa hapa labda anaweza akanioa au nifanyeje maana naeza panga kuacha kabisa baada ya siku 2 nashindwa nakuta namtafuta tena.

Please naombeni mawazo yenu

NB: Huyu ni ndugu yangu wa damu kabisa binafsi nimeshindwa jinsi ya kumshauri hebu nisaidieni nimwambieje huyu mtu?

Kuna ushauri zaidi hapo?
 
Ujue watu wengne kufa wanajitakia wnyw unaona kabsa hiii njiaaa unayopita n ya kifo af unaendeleaaaatu nayo wakat unaiona nyingne ile pale unaweza pita na ukaenda nayo na ukafka salama
 
Hiyo ni kawaida kwa akili za wanawake,ni hakika na kwel kuwa wanawake wanapenda mwanaume mhuni mhuni asiyeeleweka...kwa hiyo muambie aishi hivyo hivyo..
 
Ni ngumu kumesa ila lazima akubali, japo chungu.

Mkaka haba mapenzi nae, aangalie jinsi ya kuendesha maisha na mwanae.
Pole yake na mabinti wengine wajifunze, Ukiwa kwenye uhusiano na mwanaume lolote laweza kutokea.
 
Mmmh kaz sn kupenda usipopendwa..!! uhh atakonda atapata vidonda vya tumbo, presha imsumbue mwsho wa ucku ajifie tu.. a move on wth her lyf!!
 
Ninamtoto nae wa miez 9, tuko nae mikoa tofauti nampenda sana. Huyu kaka ni muhuni sana anamwanamke tena kazaa nae anamtoto wa miez 11 yeye wanafanya nae kazi sehemu moja. Huyu jamaa nampenda sana japo yeye haonyeshi interest ya kuishi na mimi najikuta na wakati mgumu kwani pamoja na tabia yake bado nampenda sana .

Anavyo onekana anampenda yule mwanamke japo hawaishi pamoja, moyo wangu unakua mgumu kumuacha sijui nifanyaje kwani najua kabisa hanipendi yupo kwa ajil ya mwanae tu isitoshe naona na nae mara 1 kwa miezi hata 5 but sijui kwanini nampenda to death, niendelee tu kubanana hapa hapa labda anaweza akanioa au nifanyeje maana naeza panga kuacha kabisa baada ya siku 2 nashindwa nakuta namtafuta tena.

Please naombeni mawazo yenu

NB: Huyu ni ndugu yangu wa damu kabisa binafsi nimeshindwa jinsi ya kumshauri hebu nisaidieni nimwambieje huyu mtu?
Pole
 
Back
Top Bottom