ai kashasema hawezi kumuacha sasa sie tumshauri nini jamani dear!! asubirie tu labda cheusi kinaweza badilika kikawa chekundu.
hapo chacha!! halafu anaongezea kabisa kuwa jamaa ni muhuni na hampendi kama yule mwingine
au anataka tumsaidie maombi na dua jamaa ampende
Ninamtoto nae wa miez 9, tuko nae mikoa tofauti nampenda sana. Huyu kaka ni muhuni sana anamwanamke tena kazaa nae anamtoto wa miez 11 yeye wanafanya nae kazi sehemu moja. Huyu jamaa nampenda sana japo yeye haonyeshi interest ya kuishi na mimi najikuta na wakati mgumu kwani pamoja na tabia yake bado nampenda sana .
Anavyo onekana anampenda yule mwanamke japo hawaishi pamoja, moyo wangu unakua mgumu kumuacha sijui nifanyaje kwani najua kabisa hanipendi yupo kwa ajil ya mwanae tu isitoshe naona na nae mara 1 kwa miezi hata 5 but sijui kwanini nampenda to death, niendelee tu kubanana hapa hapa labda anaweza akanioa au nifanyeje maana naeza panga kuacha kabisa baada ya siku 2 nashindwa nakuta namtafuta tena.
Please naombeni mawazo yenu
NB: Huyu ni ndugu yangu wa damu kabisa binafsi nimeshindwa jinsi ya kumshauri hebu nisaidieni nimwambieje huyu mtu?
Kuna ushauri zaidi hapo?
Hahaaaa
Akae tu wàlee mtoto
kwani mimba iliingia wakati amemuoa?atakaaje wkt jamaa hana hata mpango wa kumuoa
PoleNinamtoto nae wa miez 9, tuko nae mikoa tofauti nampenda sana. Huyu kaka ni muhuni sana anamwanamke tena kazaa nae anamtoto wa miez 11 yeye wanafanya nae kazi sehemu moja. Huyu jamaa nampenda sana japo yeye haonyeshi interest ya kuishi na mimi najikuta na wakati mgumu kwani pamoja na tabia yake bado nampenda sana .
Anavyo onekana anampenda yule mwanamke japo hawaishi pamoja, moyo wangu unakua mgumu kumuacha sijui nifanyaje kwani najua kabisa hanipendi yupo kwa ajil ya mwanae tu isitoshe naona na nae mara 1 kwa miezi hata 5 but sijui kwanini nampenda to death, niendelee tu kubanana hapa hapa labda anaweza akanioa au nifanyeje maana naeza panga kuacha kabisa baada ya siku 2 nashindwa nakuta namtafuta tena.
Please naombeni mawazo yenu
NB: Huyu ni ndugu yangu wa damu kabisa binafsi nimeshindwa jinsi ya kumshauri hebu nisaidieni nimwambieje huyu mtu?