Nina mwaka mmoja na nusu sijafanya uzinzi

Nina mwaka mmoja na nusu sijafanya uzinzi

TUKANA UONE

JF-Expert Member
Joined
Jan 3, 2018
Posts
2,345
Reaction score
6,970
Je Wajua?

KISANGATI - Ni mtu mwenye tabia ya kutopenda kutumia na kutoa kilicho Chake Kwa wengine (Kwa mujibu wa BAKITA)


Wakuu ni mwaka mmoja na zaidi Sasa sijafanya Uzinzi/Uasherati na bado Niko poa kabisa!

Kitu ambacho namshukuru Mungu kunipatia ni kutokuwa na tabia ya kupenda wanawake ovyo!,huwa napenda mwanamke mmoja tu Kwa muda mrefu na tukizinguana huwa najipa muda mrefu wa kutokuwa na mwanamke!

Huwa namshangaa sana mwanaume kusema eti hawezi kukaa mwezi bila kulamba mbunye!,kupenda mbunye sana nako yawezekana ikawa tatizo la kiakili!

Kiukweli tangu nimejiweka kando na wanawake Kwa kipindi chote hicho najiona mwenye mafanikio makubwa na bahati tele!,Sina stress Wala siwazi chochote isipokuwa kuipa nafasi yangu afya!

Starehe yangu ni kuzunguka sehemu tofauti tofauti na ku-experince vitu vipya!

KARIBUNI LUSHOTO wakuu tu-enjoy hewa safi ya Mungu!
 
Je Wajua?

KISANGATI - Ni mtu mwenye tabia ya kutopenda kutumia na kutoa kilicho Chake Kwa wengine (Kwa mujibu wa BAKITA)


Wakuu ni mwaka mmoja na zaidi Sasa sijafanya Uzinzi/Uasherati na bado Niko poa kabisa!

Kitu ambacho namshukuru Mungu kunipatia ni kutokuwa na tabia ya kupenda wanawake ovyo!,huwa napenda mwanamke mmoja tu Kwa muda mrefu na tukizinguana huwa najipa muda mrefu wa kutokuwa na mwanamke!

Huwa namshangaa sana mwanaume kusema eti hawezi kukaa mwezi bila kulamba mbunye!,kupenda mbunye sana nako yawezekana ikawa tatizo la kiakili!

Kiukweli tangu nimejiweka kando na wanawake Kwa kipindi chote hicho najiona mwenye mafanikio makubwa na bahati tele!,Sina stress Wala siwazi chochote isipokuwa kuipa nafasi yangu afya!

Starehe yangu ni kuzunguka sehemu tofauti tofauti na ku-experince vitu vipya!

KARIBUNI LUSHOTO wakuu tu-enjoy hewani safi ya Mungu!
Kimbia haraka kwa daktari, inawezekana una shida kubwa. Uko kinyume na mtu anayeitwa 'mwanaume rijali'
 
Kimbia haraka kwa daktari, inawezekana una shida kubwa. Uko kinyume na mtu anayeitwa 'mwanaume rijali'
Here is the problem, unadhani bila kuzini labda ana umea nope. Ni maamuzi, na hii ni movement ipo online lakini pia ni tiba kwa wale wanaotaka ku restore miili yao.
 
Kimbia haraka kwa daktari, inawezekana una shida kubwa. Uko kinyume na mtu anayeitwa 'mwanaume rijali'
Kwamba kama sijafanya uzinzi nitakuwa Nina matatizo?😁

Karibu LUSHOTO mkuu ule upepo Kwa wiki nzima,uje na Malaya wako bill zote nita-clear Kwa wiki nzima!
 
Kasongo yeyee..mombali nangaa,, kasongo mbona wewooh,,songali nangaa,,wo- yeyee,,yeyee kasongo mbona weweeeh,,mbona wewoooooh,, songali nangaa,,,..
 
Je Wajua?

KISANGATI - Ni mtu mwenye tabia ya kutopenda kutumia na kutoa kilicho Chake Kwa wengine (Kwa mujibu wa BAKITA)


Wakuu ni mwaka mmoja na zaidi Sasa sijafanya Uzinzi/Uasherati na bado Niko poa kabisa!

Kitu ambacho namshukuru Mungu kunipatia ni kutokuwa na tabia ya kupenda wanawake ovyo!,huwa napenda mwanamke mmoja tu Kwa muda mrefu na tukizinguana huwa najipa muda mrefu wa kutokuwa na mwanamke!

Huwa namshangaa sana mwanaume kusema eti hawezi kukaa mwezi bila kulamba mbunye!,kupenda mbunye sana nako yawezekana ikawa tatizo la kiakili!

Kiukweli tangu nimejiweka kando na wanawake Kwa kipindi chote hicho najiona mwenye mafanikio makubwa na bahati tele!,Sina stress Wala siwazi chochote isipokuwa kuipa nafasi yangu afya!

Starehe yangu ni kuzunguka sehemu tofauti tofauti na ku-experince vitu vipya!

KARIBUNI LUSHOTO wakuu tu-enjoy hewa safi ya Mungu!
Punyeto pia hupigi?
 
Punyeto pia hupigi?
Mkuu yaani niache kufanya Uzinzi na wanawake halafu nipige punyeto?,nitakuwa nimefanya Nini Sasa?

Kupiga Punyeto kwanini nisitafute mwanamke nimpe pesa nikapige mbunye!

PUNYETO KWANGU SIDHANI KAMA ITAKUJA KUPATA NAFASI,SIJAWAHI NA SITAWAHI!

MALAYA WALIVYOJAA HIVI HALAFU NIPIGE PUNYETO,HATA SHETANI ATANISHANGAA MKUU
 
Mkuu tumetofautiana sana Mimi naweza vumilia miezi mitatu ili baada ya hapo ni kamzozo naweza kuwachukia wanawake au nikawa mzito sana kwenye kufanya maamuzi & nakua mzito
 
Je Wajua?

KISANGATI - Ni mtu mwenye tabia ya kutopenda kutumia na kutoa kilicho Chake Kwa wengine (Kwa mujibu wa BAKITA)


Wakuu ni mwaka mmoja na zaidi Sasa sijafanya Uzinzi/Uasherati na bado Niko poa kabisa!

Kitu ambacho namshukuru Mungu kunipatia ni kutokuwa na tabia ya kupenda wanawake ovyo!,huwa napenda mwanamke mmoja tu Kwa muda mrefu na tukizinguana huwa najipa muda mrefu wa kutokuwa na mwanamke!

Huwa namshangaa sana mwanaume kusema eti hawezi kukaa mwezi bila kulamba mbunye!,kupenda mbunye sana nako yawezekana ikawa tatizo la kiakili!

Kiukweli tangu nimejiweka kando na wanawake Kwa kipindi chote hicho najiona mwenye mafanikio makubwa na bahati tele!,Sina stress Wala siwazi chochote isipokuwa kuipa nafasi yangu afya!

Starehe yangu ni kuzunguka sehemu tofauti tofauti na ku-experince vitu vipya!

KARIBUNI LUSHOTO wakuu tu-enjoy hewa safi ya Mungu!
sasa nije lushoto kuna totoz lakini? Bila totoz starehe haijakamilika.
 
Achana na wanawake mkuu,hakuna Cha maana utakachofanya zaidi ya Kuwa na watoto lukuki ushindwe kuwahudumia!
Sijakuelewa kitu kinachonipa furaha kwangu ni sex na mziki na sio kwamba nabadili kila siku hapana nikibadili ujue nimehama sehemu au nipo sehemu kikazi na n.k
 
Sijakuelewa kitu kinachonipa furaha kwangu ni sex na mziki na sio kwamba nabadili kila siku hapana nikibadili ujue nimehama sehemu au nipo sehemu kikazi na n.k
Nimekupa njoo na mwanamke wako kutoka popote mkuu ukifika bill itakuwa juu yangu!
 
Back
Top Bottom