Alien_girl300
New Member
- Jan 18, 2023
- 2
- 7
Nina mzigo wa kutosha wa maembe nauza jumla. Nina aina ya maembe ya dodo, bolibo na maembe ya apple.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umeongea hivo kumaanisha nini???....I think I can count those mangoes
Buguruni Hilo embe kinauzwa 400 na unajichagulia mwenyewe.Napatikana kisalawe bei ya jumla nauza 400 kwa 500 kwa mawasiliano no 0788172194
Buguruni Hilo embe kinauzwa 400 na unajichagulia mwenyewe.
Kisalawe.....Napatikana kisalawe bei ya jumla nauza 400 kwa 500 kwa mawasiliano no 0788172194
Kisalawe.....
Tumuombe Mungu akusaidie upate mteja kwa haraka
Kumuombea heri ni kumchawia? Watu mna negative attitude ya kiwango cha juu sana.[emoji23][emoji23][emoji23]mbona kama unanchawia tajiri
Kumuombea heri ni kumchawia? Watu mna negative attitude ya kiwango cha juu sana.
Nimemuombea apate mteja kwa haraka sababu maembe ni perishable goods. Sasa huo uchawi wangu uko wapi?
Tatizo lako ni mtazamo wako, uko very negative. Badilika aisee, kimtokacho mtu ndicho kilicho ujaa moyo wake.Auoni
Tatizo lako ni mtazamo wako, uko very negative. Badilika aisee, kimtokacho mtu ndicho kilicho ujaa moyo wake.
Mimi nimeomba Mungu amsaidie mleta mada ili mzigo wake utoke kwa haraka, wewe unaona namchawia.
HUO MZIGO UKIHARIBIKA NITAPATA FAIDA GANI?
Nipanic kwasababu gani? Maembe ya kwenye picha?Basi kaka mimi nilikuwa nakutani tu naona unapanic usije lia bure
Nipanic kwasababu gani? Maembe ya kwenye picha?
Na aseme kama anafanya deliveryWatanganyika ata kujieleza ni mtihani kweli kweli.
Jieleze kwa kina, uko wapi, unauza kwa bei gani ikibidi weka namba yako.
Safi mkuu, wakati mwingine usisahau taarifa hizi muhimu mkuuNapatikana kisalawe bei ya jumla nauza 400 kwa 500 kwa mawasiliano no 0788172194