FirstLady1
JF-Expert Member
- Jul 29, 2009
- 16,789
- 5,401
wako wako unamaanisha wako wapi?Hawa kina dada siku hizi wako wapi
Sinta alitikisa vyombo vya habari kupitia magazeti kila kukicha sinta , sinta
Nina alikuwa anaigiza katika kikundi cha kaole lakini sasa hajulikani yuko wapi na wala hasikiki kabisa
Mnaweza kunipa update za hawa ladies wako wapi kwa sasa na wanafanya nini
wako wako unamaanisha wako wapi?
Sinta , kachoka sasa baada ya kujipatia umaarufu mkubwa na kuchukua tuzo kibao za kuandikwa kwenye vyombo vya habari akichuana na Msaani mwenzie matata NORA!. Kama unataka details zake, alikuwa anapatikana maeneo ya Kimara Korogwe ( eneo la Kilungule), sina shaka ndo yalipo maskani.
Kupata "direction" unanzia kwa kumuulizia kwenye kituo cha Taxi cha Kimara Korogwe".
Kuhusu Davina, habari zaidi zinaweza kupatikana kwa wanaofahamu hapa..
Sinta , kachoka sasa baada ya kujipatia umaarufu mkubwa na kuchukua tuzo kibao za kuandikwa kwenye vyombo vya habari akichuana na Msaani mwenzie matata NORA!. Kama unataka details zake, alikuwa anapatikana maeneo ya Kimara Korogwe ( eneo la Kilungule), sina shaka ndo yalipo maskani.
Kupata "direction" unanzia kwa kumuulizia kwenye kituo cha Taxi cha Kimara Korogwe".
Kuhusu Davina, habari zaidi zinaweza kupatikana kwa wanaofahamu hapa..
Huyu Sinta ni rafiki mkubwa wa Chipeta ngoja nitamtafuta anipe data zake.
haya nasubiri hizo full info..Huyu Sinta ni rafiki mkubwa wa Chipeta ngoja nitamtafuta anipe data zake.
na kuna yule mwingine alikuwa anaitwa "nana"..ka black beauty hivi, mara ya mwisho tuligongana south cjui bado yupo hko au, nakapenda sana.
na kuna yule mwingine alikuwa anaitwa "nana"..ka black beauty hivi, mara ya mwisho tuligongana south cjui bado yupo hko au, nakapenda sana.
Huyu Sinta ni rafiki mkubwa wa Chipeta ngoja nitamtafuta anipe data zake.
Yeah kapo kanaganga njaa si unajua maproduza wa Bongo wanawachakaza kwa kuwamega mega ovyo ovyo na vipato wanapewa duni wanaishia kupata sifa.
hako mie jina nakumbuka ila sura haiji kabisa ..
pia kuna dada mmoja alikuwa anaitwa Joyce aliecheza kaole zamani sana wakati ndo inaanza ..mmewe Bishanga aligonganisha wanawake ..toka hapo sijamsikia tena kweli watu wanapotea
Huyu Sinta ndio yule alikuwa anajiita J-LO wa Tanzania au?