FirstLady1
JF-Expert Member
- Jul 29, 2009
- 16,789
- 5,401
- Thread starter
- #41
kwisha habari yake huyo mam'ii!.........
amewapisha wengine
kuna umri fulani lediiz wanaonekana wazuri...!time yao ikipita na wao wanapita hivyo hivyo!....
mbona hujauliza britney yupo wapi?au j-lo ni vipi?...!sasa hivi watu wanadata na rihhana,jordan spark,beyonce,na wachuchu wengine
...THERE IS TIME FOR EVERYBODY..!
umenifumbua macho jamani mie loooooooooooh
sasa ndo kuna Aunt Ezekiel eeeh ...huyu binti naye kamwambie atulie bwana Geoff