Nina na Sinta wako wapi?

hao warembo wanajiachia tu wenyewe kwa kupenda mteremko, mtu kama nana/nora atadanganywa na lipi, wanajitakia tu....halafu wanakuwaga na nini cjui hawawezi ku date na watu wakawaida ni mpaka wapate hao wenzao wanaojiita supa staa, ndio mana hawadumu.
Hii nayo ni point
 
Hope watakuwa washazeeka sasa, si mnajua muda haumsubiri mtu
 
alizalishwa huko na mganda choka mbaya but akaja hapa akawarudia wadau wake nani amatke mtu keshazalishwa basi akaona hana deala akakwapua vijisenta akarudi tena huko ingawa mwenyewe anasema yuko ethiopia
ACHA UCHAWI.MTOTO MDOGO IVO! MARA KAFA, MARA KAIBA! NA WEWE KUFA!
 
Duuuh
 
Nina ameolewa kama mke wa pili na mfanyakazi (bosi) mmoja wa TANESCO.Nafikiri hiyo imemfanya atulie katika ndoa yake akisubiri kuongeza familia.
Najazia nyama mkuu.
Amejengewa nyumba na bosi wa Tanesco,
Yupo Magomeni kimamba chidya. Opposite na chidya bar..

Bado toto tamu kweli
 
HUYO SINTA SI NDIYE YULE ALIYEPONDWA NA JUMA KIROBOTO KTK WIMBO WA "SITAKI DEMU"? ..... MTOTO WA MZEE MWALUBADU, YULE MZEE ANAYEONGOZA KWA KUVUA NGADU.
 
Hivi yule Jesca wa Twanga yupo.wapi kitambo sana sija.sikia
 
Najazia nyama mkuu.
Amejengewa nyumba na bosi wa Tanesco,
Yupo Magomeni kimamba chidya. Opposite na chidya bar..

Bado toto tamu kweli
Nilikuwa nampenda sana Nina tangu nikiwa sijabalehe, yule ni kama mama tangu lakini bado nampenda

Ana macho mazuri sana

Hebu nipe namba mkuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…