Sanda Matuta
JF-Expert Member
- May 9, 2007
- 949
- 142
kadada ka1 kalikuwa kana dimpozi sana, ka black hivi...kuna wakati alikuwa anasoma hapo dsj, wakati huo hapo kumekucha kweli ndio sinta, nora, nana wapo hapo chuoni, tupo bonga bar tunapata kilaji juma nature anakuja kumchukua mami wakati huo...mwehh bungoni palikuwa hot kweli kweli....hivi Fidel ile bar ya bonga bado ipo hapo ilala bungoni?
Bonga bar imekufa .....sijui imefungwa....?
Nana aliigizaga mchezo mmoja hv na Bambo. Alikuwa mzuri sana yule dada.hako mie jina nakumbuka ila sura haiji kabisa ..
pia kuna dada mmoja alikuwa anaitwa Joyce aliecheza kaole zamani sana wakati ndo inaanza ..mmewe Bishanga aligonganisha wanawake ..toka hapo sijamsikia tena kweli watu wanapotea
Nana aliigizaga mchezo mmoja hv na Bambo. Alikuwa mzuri sana yule dada.
mambo ya nanihhii hayo...!😀nilikuwa nakapenda sana, sema nilipokutana nae alikuwa amejiachia yaani tumbo hilo mweh.
ndio yupo kwenye movies au bado ana act kwenye vikundi?
Chipeta??? mmh fidel na weee umo!!!!
vipi chipeta umempata?..............atuambie sinta yupo wapAlisha fulia si unajua maproduza wakisha mega wanawatupa kabisa kwenye dustbin
vipi chipeta umempata?..............atuambie sinta yupo wap
kuna wakati huwa nawahurumia sana wanawake!.....HUWA WANAVUMA NA KUPOTEA(baada ya kutumika saana na kuzalishwa na kuachiwa minyenyere)...!wakina aisha madinda NDO HIVYO TENA...lolz!
Mbaya sana!....tatizo wanakurupukia umaarufu, front page kwenye vijarida vya udaku bac wao ndio wao....
..Huyo Nina kwa kweli nilikuwa nampenda sana kwa tumacho twake tule.....tunaita kabisaHawa kina dada siku hizi wako wapi
Sinta alitikisa vyombo vya habari kupitia magazeti kila kukicha sinta , sinta
Nina alikuwa anaigiza katika kikundi cha kaole lakini sasa hajulikani yuko wapi na wala hasikiki kabisa
Mnaweza kunipa update za hawa ladies wako wapi kwa sasa na wanafanya nini
..Huyo Nina kwa kweli nilikuwa nampenda sana kwa tumacho twake tule.....tunaita kabisa
lol......
Yeah kapo kanaganga njaa si unajua maproduza wa Bongo wanawachakaza kwa kuwamega mega ovyo ovyo na vipato wanapewa duni wanaishia kupata sifa.
..Huyo Nina kwa kweli nilikuwa nampenda sana kwa tumacho twake tule.....tunaita kabisa
]hahaa unakumbuka[/COLOR]????
afu nawe nimekumis ndo nini kupotea hivo???
na walaaniwe hawa maproduza wanaopenda kumega watoto wa wenzao na kuwaacha solemba
kwisha habari yake huyo mam'ii!.........kweli katulia huyu sisiteri hasisikiki popote pale