FirstLady1
JF-Expert Member
- Jul 29, 2009
- 16,789
- 5,401
- Thread starter
-
- #41
kwisha habari yake huyo mam'ii!.........
amewapisha wengine
kuna umri fulani lediiz wanaonekana wazuri...!time yao ikipita na wao wanapita hivyo hivyo!....
mbona hujauliza britney yupo wapi?au j-lo ni vipi?...!sasa hivi watu wanadata na rihhana,jordan spark,beyonce,na wachuchu wengine
...THERE IS TIME FOR EVERYBODY..!
kwisha habari yake huyo mam'ii!.........
amewapisha wengine
kuna umri fulani lediiz wanaonekana wazuri...!time yao ikipita na wao wanapita hivyo hivyo!....
mbona hujauliza britney yupo wapi?au j-lo ni vipi?...!sasa hivi watu wanadata na rihhana,jordan spark,beyonce,na wachuchu wengine
...THERE IS TIME FOR EVERYBODY..!
karibu mamiii.....haaa nimekumbuka dear, akachanganyikiwa kabisaa na manyuzi nyuzi yale.....dear nilikuwa safari narudi kutafuta ugali wa kila cku, ka likizo kameisha na nashukuru nimetoka huko ukweni bila bifu na bi mkubwa....sasa hivi nipo kwa sana tu dear.
hao warembo wanajiachia tu wenyewe kwa kupenda mteremko, mtu kama nana/nora atadanganywa na lipi, wanajitakia tu....halafu wanakuwaga na nini cjui hawawezi ku date na watu wakawaida ni mpaka wapate hao wenzao wanaojiita supa staa, ndio mana hawadumu.
Nimesoma hii thread yote sijaelewa kitu, huyo Sinta na Nina ni watu gani ? Mwenye picha tafadhali usije kuta Mzenj zamani alikuwa anajiita Nina!? wekeni photo zao
Wamezeeka eeeeh,!!!!!!!!!!!!!! Lakini kweli kama maua vile likichanua kila mtu ataka kulichuma, likinyauka no one even notices.
hivi na Nyamayao na kibakuli jamani
ANTI ezekiel ndo selebriti gani huyo?...........umenifumbua macho jamani mie loooooooooooh
sasa ndo kuna Aunt Ezekiel eeeh ...huyu binti naye kamwambie atulie bwana Geoff
waigizaji michezo kwenye TV!!!
muulize Mzenji kama alishapitia kwenye fani hiyo (wenye picha watakusaidia)
Nimesoma hii thread yote sijaelewa kitu, huyo Sinta na Nina ni watu gani ? Mwenye picha tafadhali usije kuta Mzenj zamani alikuwa anajiita Nina!? wekeni photo zao
ANTI ezekiel ndo selebriti gani huyo?...........
atakuwa nina huyo....ngoja Nguli aje akusaidie foto..
mweehhh.....
Mtabiri weee....kwanza umebadili jina ukasahau signature!
hehehe!Nimesoma hii thread yote sijaelewa kitu, huyo Sinta na Nina ni watu gani ? Mwenye picha tafadhali usije kuta Mzenj zamani alikuwa anajiita Nina!? wekeni photo zao
nime2mia jina langu la ubatizo....huyo mzenji hajakuachia tu? akulishe na vzr pia sio akukabe/bane tu huko.
naomba link nione picha zakec ndio yule pics zake ziliwekwa humu....akiwa kajiachia kiuchokozi kuwatega walafi...au nimekosea? bht msaada kwenye tuta.
Babra aka........huku nimekabwa nani hiii hahahahahahah uchokozi huo....have a wonderful day!
jamani yaani wewe babra ndio nanihii next time usifanye hivyo ..aaah mie nilikuwa sijagundua mpaka masanilo alifumbua fumbo