Nina na Sinta wako wapi?

hahaha mie sikujua mwenzio yaani huyu tabia aliyoianza .loh

weee ipi kwani??? hanaga tabia huyu jamani......

unasahau kweli, siku hiyo Naniliu akawa nani unakumbuka???
 
huyu ndio yule alikuwa miss mwanza miaka fulani na sasa anacheza movie za kibongo mala akaanza kuwa na kina Jack Pemba ,mala sijui Chals Baba , Mala maproduser

hivi huyu ni HE/SHE?
 
Jamani nauliza kuna kitu gani kinaendelea hapa?
 
masanilo angalia najigongea senksi!.............

The Following 3 Users Say Thank You to Geoff For This Useful Post: Geoff (Today),Geoff (Tommorow),Geoff (Day AfterTommorow),Geoff(Next Weekend)​
 
na walaaniwe hawa maproduza wanaopenda kumega watoto wa wenzao na kuwaacha solemba

Tatizo vibinti venyewe vinatoka huko vinanuka mikojo basi vikimwona Ray au Kanumba au Chuzi akiwapa Colabo kakawa maarufu basi unakuwa ndo mtaji wake wakukawa uroda kama peremende kwa sisi mapedeshee.
 
uwe unaangalia na gesti za kwenda!....buguruni mnyamani kuna foleni kubwa...ONA SASA UMECHELEWA

Hahaha! Mwarubaini gesti hausi.
KUNGUNI wa kufa mtu
LAKINI MILA INADUMISHWA KAMA KAWA!
 
uwe unaangalia na gesti za kwenda!....buguruni mnyamani kuna foleni kubwa...ONA SASA UMECHELEWA

Mwambie aende kwenye parking za Mlimani City afanyie kwenye gari kama liko tinted!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…