nikutake radhi kwa lipi? Kama hutumii tigo basi unatumia voda kama hutumii hiyo basi zain au zantel au ttcl mobile ndo maana iwa unamwelewa tofauti masa.
Nabadili line ya simu!
kwa kunidhani mi natumia tigo........................
Salari oooooh! salari o o o
nasema salari oooooooh! salari o o o
jamani nilikuwa nawatania tu,
SITAWAPIGIA!...naona wote mmekimbia srediπ
hajalipa huyo!mi namuangalia tuBinamu Iribini amelipa au bado ..??
kanichokoza huyu ..π
hajalipa huyo!mi namuangalia tu
nitaenda streiti kwa mama matesha
hahaha anza nae kwanza ndo umelizie na bht ,fi..fi.del
hahaha anza nae kwanza ndo umalizie na bht ,fi..fi.del
mie bwana nimeamua nifanya mapema iribini ameni .. ..call u before next week
Hehehehe mm nilisha maliza siku mingi na maafa ya Kilosa nimesha changia we subili kwenye Luninga utaniona Ijumaa. Na wewe unangoja nn changia maafa ya mafuliko.
Dah..sijui nimepitwa au nimewapita?π
hapa ndipo kadada kalipochemka !!it was so sadSinta alitikisa vyombo vya habari kupitia magazeti kila kukicha sinta , sinta
Huyo dada siyo kwamba alitikisa vyombo vya habari tu...!!
Bali hapa mwanza aliwatikisa hata wafanyabiashara wakubwa wa samaki
chaajabu alipotea mwanza pasipo kujua kaelekea wapi.
Wafanyabiashara walikuwa wakiuziana tu! Sinta wa watu kama vle sangara
sanaa yao imekwisha ukiona wako kimya!Hawa kina dada siku hizi wako wapi
Sinta alitikisa vyombo vya habari kupitia magazeti kila kukicha sinta , sinta
Nina alikuwa anaigiza katika kikundi cha kaole lakini sasa hajulikani yuko wapi na wala hasikiki kabisa
Mnaweza kunipa update za hawa ladies wako wapi kwa sasa na wanafanya nini
hapa ndipo kadada kalipochemka !!it was so sad
hivi dear, nilikuwanaperuzi na mwananchi, kuna face of afr, nidodose vigezo vyao kama wavijua...mweh