Baljurashi
JF-Expert Member
- Dec 30, 2017
- 1,628
- 2,720
Ila mkuu yale si maonesho tu, haimaanishi kwamba yale ndio mafunzo yao yote waliyonayo.Anza mazoezi ya kujipiga na matofali ya utosi na tumboni kwanza. Mixer kubeba viroba na kukimbia navyo.
Maana ndio tunaona makomando wetu wanafanya kwenye maadhimisho ya Uhuru.