Wakilimsomitz
Senior Member
- Jul 1, 2023
- 134
- 208
unazingua bob kama huwezi kutoa ushauri vunga,Oyi babu huku siyo Facebook Wala ulaya
Ukiwa katika vitu serious kama hivi jitahidi nawe kuwa serious, kuanzia uandishi, namna unavojieleza na majibu yako.... Kila laheriKuliko kunikashifu ni heri upite kmy kmy sitaki kupigwa ban sasa hivi
Bora upigwe ban...hiyo oyi...unadhani wote humu wadogo zako? Hapo bado hujaigusa hata ulaya kwa ramani,tayari umeanza mbwembwe๐ nenda kaqtKuliko kunikashifu ni heri upite kmy kmy sitaki kupigwa ban sasa hivi
AmenUkiwa katika vitu serious kama hivi jitahidi nawe kuwa serious, kuanzia uandishi, namna unavojieleza na majibu yako.... Kila laheri
nielekezeWeka title yako vizr
Halafu ID yake anajiita Wakili msomi.Bora upigwe ban...hiyo oyi...unadhani wote humu wadogo zako? Hapo bado hujaigusa hata ulaya kwa ramani,tayari umeanza mbwembwe๐ nenda kaqt
niende ulaya
Nielekeze jinsi ya kurekebisha kichwa cha habari
๐๐๐๐๐Halafu ID yake anajiita Wakili msomi.
Taaluma zimevamiwa ๐Halafu ID yake anajiita Wakili msomi.
haha oyi umemuelewa wakili weu msomi kwanza?Bora upigwe ban...hiyo oyi...unadhani wote humu wadogo zako? Hapo bado hujaigusa hata ulaya kwa ramani,tayari umeanza mbwembwe๐ nenda kaqt