Nina ndoto za kuishi Ulaya, kwa umri wangu wa miaka 23 nitatoboa?

Naomba namba yako mkuuπŸ™
 
hujawahi kuona wazungu wazee wakifanya kazi huku africa
 
Bora upigwe ban...hiyo oyi...unadhani wote humu wadogo zako? Hapo bado hujaigusa hata ulaya kwa ramani,tayari umeanza mbwembweπŸ™† nenda kaqt
Toyeye kumbe na we mkorofi eeh
 
Kaka habari za muda,ni mimi mdogo ako ile ID ya mwanzo ilisumbua saivi natumia hii naomba namba yako ya WhatsApp
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…