Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ACHANA NAZO FANYA MAMBO MENGINE.Naumia mno, siyo kwamba nakataliwa, la, ila nakuwa insecure kiasi fulani. Nywele zangu ni nyekundu sana, na sifahamu bado ni dawa gani ninaweza tumia.
Super blacks situmii na hata kuzisikia sitaki, nataka kufahamu lishe au mbogamboga zozote za kula ili nirutubishe nywele zangu kiasili.
Zikikua kubwa nahisi aibu mno wakati mwingine, sema tu sura na muonekano vinanibeba vinginevyo ningekuwa mtu wa punyeto pekee mpaka mikono ingeota sugu.
Ushauri wa tiba asilia tafadhali, nipunguze insecurity!
Acha umbea mwanamke wewe[emoji23]Aah Kumbe
Prince Harry na Ed Sheeran wana lishe duni?Lishe duni...
Ahsante sana1.Osha nywele zako angalau mara 1 kwa wiki na shampoo
2.Tumia mafuta ya nywele zisiwe kavu
3.Vyakula vyenye protein kwa wingi na matunda kama machungwa, limao, avocado, carrot n. k
🤣🤣🤣🤣Umbea suna mwanaume wwAcha umbea mwanamke wewe[emoji23]
Nidake nn mkuu☺️Daka basi rafiki
Ndio maana anarudi usiku kama jina lake ili asionekane Jana Ulirudi Usiku hahaha natania mkuu😆
Sitaki hayo ma vitu fake, nataka vitu natural aidha kutoka kwenye vyakula vya asili, matunda n.kPunguza mywele Kisha changanya mafuta ya nywele. Namanisha leo ukipaka hata, kesho paka aina nyingine. Uwe na mafuta aina tatu zote ziwe vimininika. Baada ya mwezi uje kunishukuru. .
Hayo mafuta soma ambayo yaneandikwa organic. Hayo yanatokana na vyakula vya asiliSitaki hayo ma vitu fake, nataka vitu natural aidha kutoka kwenye vyakula vya asili, matunda n.k
Kidogo uwe ManaraMimi ni mweupe, nina wekundu kwa mbaaali!
Wee jamaa🤣🤣🤣🤣Kwapani lazima ziwe na rangi ya njano, ukiingia swimming 🏊♂️ pool maji yanabadilika rangi
ASHURA cheupeeKidogo uwe Manara
Huu ubaguzi sasaUliponea chupu chupu kuwa Manara?
HahhahahhhKwapani lazima ziwe na rangi ya njano, ukiingia swimming [emoji2113] pool maji yanabadilika rangi