Nina nywele nyekundu mno, zinafanya nikose kujiamini

Nina nywele nyekundu mno, zinafanya nikose kujiamini

Kuwa wewe!

Namaanisha geuza changamoto kuwa fursa.
Au km hujanielewa ni kwamba fanya iwe ndio utambulisho wako wa kipekee tofauti na binadamu wengine.
USIJICHUKIE!
 
Naumia mno, siyo kwamba nakataliwa, la, ila nakuwa insecure kiasi fulani. Nywele zangu ni nyekundu sana, na sifahamu bado ni dawa gani ninaweza tumia.

Super blacks situmii na hata kuzisikia sitaki, nataka kufahamu lishe au mbogamboga zozote za kula ili nirutubishe nywele zangu kiasili.

Zikikua kubwa nahisi aibu mno wakati mwingine, sema tu sura na muonekano vinanibeba vinginevyo ningekuwa mtu wa punyeto pekee mpaka mikono ingeota sugu.

Ushauri wa tiba asilia tafadhali, nipunguze insecurity!
ACHANA NAZO FANYA MAMBO MENGINE.
 
1.Osha nywele zako angalau mara 1 kwa wiki na shampoo
2.Tumia mafuta ya nywele zisiwe kavu
3.Vyakula vyenye protein kwa wingi na matunda kama machungwa, limao, avocado, carrot n. k
 
Punguza mywele Kisha changanya mafuta ya nywele. Namanisha leo ukipaka hata, kesho paka aina nyingine. Uwe na mafuta aina tatu zote ziwe vimininika. Baada ya mwezi uje kunishukuru. .
 
Punguza mywele Kisha changanya mafuta ya nywele. Namanisha leo ukipaka hata, kesho paka aina nyingine. Uwe na mafuta aina tatu zote ziwe vimininika. Baada ya mwezi uje kunishukuru. .
Sitaki hayo ma vitu fake, nataka vitu natural aidha kutoka kwenye vyakula vya asili, matunda n.k
 
Jikubali afu jiamini kama ulivyo, shida sio nywele nyekundu shida ni insecurity ndo inakung'ong'a, hamna kitu kizuri kama kuwa unique afu ukaitumia for your own advantage
 
Back
Top Bottom