Nina safari ya kwenda Bukavu nchini Congo, naomba taarifa za Mji

Nina safari ya kwenda Bukavu nchini Congo, naomba taarifa za Mji

hp4510

JF-Expert Member
Joined
Jan 16, 2012
Posts
7,235
Reaction score
7,392
Salaam wakuu

Naomba msaada wa kupata taarifa za mji wa Bukavu, Kongo kwa mwana JF yoyote ambae yuko huko.

Taarifa ambazo nazitaka ni kama:

1. Usafiri wa kufika huko kutokea Dar es Salaam

2. Nahitaji visa au ni passport tu?

3. Mazingira ya usalama kwa sasa yako vipi?

Nina Safari ya kwenda Bukavu mwezi ujao na kila nikiangalia usafiri wa ndege naona kama mpaka uende Kinshasa ndio urudi Bukavu.

Msaada kwenye tuta please
 
Kabla ya kutoka dar nenda ubalozi wa congo ukachukue visa amabayo ina cost 50USD for 3month kisha ndio utaanza utaratibu wa safari km ifuatavyo.

Nimechoka kuandika njoo dm kwa msaada zaidi mi bukavu ni mwenyeji na nawenyeji pia wa kutosha sana tu.
 
Kabla ya kutoka dar nenda ubalozi wa congo ukachukue visa amabayo ina cost 50USD for 3month kisha ndio utaanza utaratibu wa safari km ifuatavyo.

Nimechoka kuandika njoo dm kwa msaada zaidi mi bukavu ni mwenyeji na nawenyeji pia wa kutosha sana tu.

Thank you so much
 
Salaam wakuu

Naomba msaada wa kupata taarifa za mji wa Bukavu, Kongo kwa mwana JF yoyote ambae yuko huko.

Taarifa ambazo nazitaka ni kama:

1. Usafiri wa kufika huko kutokea Dar es Salaam

2. Nahitaji visa au ni passport tu?

3. Mazingira ya usalama kwa sasa yako vipi?

Nina Safari ya kwenda Bukavu mwezi ujao na kila nikiangalia usafiri wa ndege naona kama mpaka uende Kinshasa ndio urudi Bukavu.

Msaada kwenye tuta please
Ubalozi wa DRC upo pale Upanga opposite na Scout, kaombe Visa gharama 50$, karushwa lazima kawepo kidogo kama hauna documents toshelezi
1: Usikose Yellow Fever (Vaccination book)
2: kwa ndege Panda RwandaAir mpaka Kigali then ndege ndogo mpaka Kamembe (Ndani ya Rwanda) Huo uwanja wa Kamembe Rwanda upo karibu kabisa na Mji wa Bukavu kuliko uwanja wa ndege wenyewe
3: Ukitoka hapo Kamembe unapanda tax mpaka border (Ruzizi II) upande wa Rwanda hawana shida kwani wanakupa exit tu, upande wa Congo wanaokupa entry wanausumbufu kidogo hata kama kila kitu kipo sawa, itabidi uwatoe kidogo, Kitoka Border kwenda mjini kuna tax na pia kuna daladala
5: Maisha sio rahisi sana, kila kitu kina equivalent na Dollar,
6: hotel nzuri pia zipo kuanzia 50$
 
Kabla ya kutoka dar nenda ubalozi wa congo ukachukue visa amabayo ina cost 50USD for 3month kisha ndio utaanza utaratibu wa safari km ifuatavyo.

Nimechoka kuandika njoo dm kwa msaada zaidi mi bukavu ni mwenyeji na nawenyeji pia wa kutosha sana tu.
w
Msalimie Mwami Christian Longangi
 
Kabla ya kutoka dar nenda ubalozi wa congo ukachukue visa amabayo ina cost 50USD for 3month kisha ndio utaanza utaratibu wa safari km ifuatavyo.

Nimechoka kuandika njoo dm kwa msaada zaidi mi bukavu ni mwenyeji na nawenyeji pia wa kutosha sana tu.

Hizi habari za njoo dm mwisho wake hua sio mzuri. Kama unaweza kuandika huko dm unashindwa nini kuandika hapa
 
Ubalozi wa DRC upo pale Upanga opposite na Scout, kaombe Visa gharama 50$, karushwa lazima kawepo kidogo kama hauna documents toshelezi
1: Usikose Yellow Fever (Vaccination book)
2: kwa ndege Panda RwandaAir mpaka Kigali then ndege ndogo mpaka Kamembe (Ndani ya Rwanda) Huo uwanja wa Kamembe Rwanda upo karibu kabisa na Mji wa Bukavu kuliko uwanja wa ndege wenyewe
3: Ukitoka hapo Kamembe unapanda tax mpaka border (Ruzizi II) upande wa Rwanda hawana shida kwani wanakupa exit tu, upande wa Congo wanaokupa entry wanausumbufu kidogo hata kama kila kitu kipo sawa, itabidi uwatoe kidogo, Kitoka Border kwenda mjini kuna tax na pia kuna daladala
5: Maisha sio rahisi sana, kila kitu kina equivalent na Dollar,
6: hotel nzuri pia zipo kuanzia 50$
Mkuu tunashukuru sana kwa ufafanuzi wako utatusaidia wengi.
Na mimi pia naomba msaada wako jinsi ya kufika Goma/Kivu kuna ishu nataka kwenda kuifanya kule mkuu.
Pia ningependa kujua maisha ya kule yapoje kiuchumi,gharama za maisha na usalama.
Nitashukuru kwa msaada wako.
 
Salaam wakuu

Naomba msaada wa kupata taarifa za mji wa Bukavu, Kongo kwa mwana JF yoyote ambae yuko huko.

Taarifa ambazo nazitaka ni kama:

1. Usafiri wa kufika huko kutokea Dar es Salaam

2. Nahitaji visa au ni passport tu?

3. Mazingira ya usalama kwa sasa yako vipi?

Nina Safari ya kwenda Bukavu mwezi ujao na kila nikiangalia usafiri wa ndege naona kama mpaka uende Kinshasa ndio urudi Bukavu.

Msaada kwenye tuta please
Kuhusu usalama nadhani ubebe machine maana huko mai mai na FDLR wanafanyakazi sana majira ya usiku
 
Sina maana ya aje niandike dm namanisha aje nimpe no yangu nimuelekeze kwa kuongea maelekezo ni marefu nazani umeeelewa!!!!!

Me nimekuelewa
Nitakupigia
 
Hizi habari za njoo dm mwisho wake hua sio mzuri. Kama unaweza kuandika huko dm unashindwa nini kuandika hapa

😃😃 Bosi mbona umewaza mbali sana
 
Mkuu tunashukuru sana kwa ufafanuzi wako utatusaidia wengi.
Na mimi pia naomba msaada wako jinsi ya kufika Goma/Kivu kuna ishu nataka kwenda kuifanya kule mkuu.
Pia ningependa kujua maisha ya kule yapoje kiuchumi,gharama za maisha na usalama.
Nitashukuru kwa msaada wako.

Issue ya Usalama Congo haitabiriki, muda wowote mambo yanaharibika, na pia unaweza kusikia watu wanapigana Goma lakini Bukavu wapo poa kama nchi nyingine,
Goma kuna njia nyingi za kufika huko, kama umefika Bukavu kuna Meli pale Zinaitwa Emmanuel zinaenda Goma (Lake Kivu), au thru Rwanda kwa gari Straight to Goma Border
Maisha yana kaugumu fulani, lakini kama una pesa hakuna shida, aina ya vyakula pia ni changamoto
 
Issue ya Usalama Congo haitabiriki, muda wowote mambo yanaharibika, na pia unaweza kusikia watu wanapigana Goma lakini Bukavu wapo poa kama nchi nyingine,
Goma kuna njia nyingi za kufika huko, kama umefika Bukavu kuna Meli pale Zinaitwa Emmanuel zinaenda Goma (Lake Kivu), au thru Rwanda kwa gari Straight to Goma Border
Maisha yana kaugumu fulani, lakini kama una pesa hakuna shida, aina ya vyakula pia ni changamoto
Mkuu hata hiyo bukavu siijui.
Kwa hiyo kumbe Goma ni mbali zaidi ya bukavu?
Ina maana huwa hakuna njia ya moja kwa moja ya kutoboa kigoma na kutokezea huko bukavu na goma?
Vyakula vyao haviendani na tunavyokula huku Tanzania?
 
Back
Top Bottom