Nina safari ya kwenda Bukavu nchini Congo, naomba taarifa za Mji

Nina safari ya kwenda Bukavu nchini Congo, naomba taarifa za Mji

Kabla ya kutoka dar nenda ubalozi wa congo ukachukue visa amabayo ina cost 50USD for 3month kisha ndio utaanza utaratibu wa safari km ifuatavyo.

Nimechoka kuandika njoo dm kwa msaada zaidi mi bukavu ni mwenyeji na nawenyeji pia wa kutosha sana tu.
Dalili mbaya hizoo yaani mtu anatumia shida yako kuwa fursa
 
[emoji3][emoji3] wanaume muwe mnajiamini bwana mi nishamfuma mmoja kapaka hiyo kitu baada ya upelelezi wa mda mrefu
Ulikuta msela ameipaka huku ameizungushia na kamfuko kanailoni pale kwny kichwa cha Abdallah wazi,hahah.
 
Mkuu hata hiyo bukavu siijui.
Kwa hiyo kumbe Goma ni mbali zaidi ya bukavu?
Ina maana huwa hakuna njia ya moja kwa moja ya kutoboa kigoma na kutokezea huko bukavu na goma?
Vyakula vyao haviendani na tunavyokula huku Tanzania?

Kigoma (Lake Tanganyika) inapakana na Uvira na Kalemie, Unajua Congo ina province (Majimbo) So Kalemie ni jimbo la Katanga lenye miji kama Lubumbashi, kolwezi nk, Uvira na Bukavu ni jimbo la Kivu ya Kusini na Goma ni Jimbo la Kivu ya Kaskazini
so Kutokea Kigoma huwezi fika Bukavu au Goma na Pia huwezi kwenda Congo kupitia Kigoma bila Boat, otherwise upite na Gari kupitia Burundi na kisha Uvira then Bukavu

Chakula kama huku, lakini precaution lazima iwepo, Wacongo kama wachina hakuna chakula wanachoacha Nyani, Paka, Mbwa, Nyoka vyote ni vyakula
 
Nina Safari ya kwenda Bukavu mwezi ujao na kila nikiangalia usafiri wa ndege naona kama mpaka uende Kinshasa ndio urudi Bukavu.

Msaada kwenye tuta please
 

Attachments

  • 45146052_1190164237815765_3037597310650417152_n.jpg
    45146052_1190164237815765_3037597310650417152_n.jpg
    59.5 KB · Views: 21
Kongo wana maisha maisha magumu sana ,baki tu [emoji1241]
 
😀😀 wanaume muwe mnajiamini bwana mi nishamfuma mmoja kapaka hiyo kitu baada ya upelelezi wa mda mrefu
ulikula koni nini ukakuta unakula unga mchungu mchungu kumbe jamaa kapaka vumbi la congo
 
Ubalozi wa DRC upo pale Upanga opposite na Scout, kaombe Visa gharama 50$, karushwa lazima kawepo kidogo kama hauna documents toshelezi
1: Usikose Yellow Fever (Vaccination book)
2: kwa ndege Panda RwandaAir mpaka Kigali then ndege ndogo mpaka Kamembe (Ndani ya Rwanda) Huo uwanja wa Kamembe Rwanda upo karibu kabisa na Mji wa Bukavu kuliko uwanja wa ndege wenyewe
3: Ukitoka hapo Kamembe unapanda tax mpaka border (Ruzizi II) upande wa Rwanda hawana shida kwani wanakupa exit tu, upande wa Congo wanaokupa entry wanausumbufu kidogo hata kama kila kitu kipo sawa, itabidi uwatoe kidogo, Kitoka Border kwenda mjini kuna tax na pia kuna daladala
5: Maisha sio rahisi sana, kila kitu kina equivalent na Dollar,
6: hotel nzuri pia zipo kuanzia 50$
Sijafika huko lkn naona umeeleza vizuri sana mzee baba[emoji120]
 
Kigoma (Lake Tanganyika) inapakana na Uvira na Kalemie, Unajua Congo ina province (Majimbo) So Kalemie ni jimbo la Katanga lenye miji kama Lubumbashi, kolwezi nk, Uvira na Bukavu ni jimbo la Kivu ya Kusini na Goma ni Jimbo la Kivu ya Kaskazini
so Kutokea Kigoma huwezi fika Bukavu au Goma na Pia huwezi kwenda Congo kupitia Kigoma bila Boat, otherwise upite na Gari kupitia Burundi na kisha Uvira then Bukavu

Chakula kama huku, lakini precaution lazima iwepo, Wacongo kama wachina hakuna chakula wanachoacha Nyani, Paka, Mbwa, Nyoka vyote ni vyakula
Hata waha ni hivyo hivyo tu kasoro mlenda

Sent from my SM-A105F using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom