Nina sarafu za sh 100, 200 na 500; natafuta wa kubadilisha na fedha za noti, au kwa anayejua utaratibu

 
ungekuwa dar ni deal nzuri sana vituo vya daladala,buku kwa 800.

au kama ni hela nyingi unampa mtu tu anakuja nayo mjini anaanza biashara hii,kila wiki unampa nyingine.
 
Kwanini usiende kuweka Bank au kwenye simu?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…