Nashukuru mkuu, ngoja tu niingie dukaniBabu Nina tv yangu mpya kbsa nauza inchi 43 Bei mia sita tu
Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
Bajeti yangu ina range kuanzia laki 6 hadi 8.
Hizi mkuu zitakuwa za kichina, au unakuta ni zile fake zake. Hapa inabidi niangalie mahali pa kununua pia, siyo maduka yote yanafaa.afu ukiwa unanua TV mkuu make sure quality ya picha inakua sawa kila pande unayokaa kuitazama. maana kuna TV siku izi zina vioo fake ukikaa pembeni unaona watu kama wanafifia au kama zile negative kwenye camera za kizamani[emoji2][emoji2][emoji2] au mara watu kama watu wameungua[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2] daah
USINUNUE TV YA 4K. WASTAGE. ISHIA FHD UNLESS UNA PS4 PRO AU 5 NA UNACHEKI MOVIE ZA 4K ILA KM NI KING'AMUZI ONLY 1080P
Haya ni mambo ya kiufundi MkuuKwani mkuu unashauri niandae shilingi ngapi ili nipate tv yenye viwango?Sasa hela huna, halafu mipango kibaooo...
Nenda katafute projector tu, uweke kwenye hiyo conference room
Shida sio TV ukubwa gani.....Shida utaipanga vip sebule yako, upande unaotaka kuweka tv una upana gani....masofa utayaweka wapi na upande gani...ukijua hayo mambo utajua tv ukubwa gani unahitaji?!Habari wakuu?
Nimehamia kwenye nyumba ambayo ina sebule yenye vipimo kama nilivyoainisha hapo juu (Ur 6m kwa Up 4m). Naomba ushauri ninunue flat screen ya nchi ngapi na brand gani ina quality nzuri za picha na inadumu kwa muda mrefu bila kuleta matatizo?
Natanguliza shukran za dhati wakuu!
Sebule nitaipanga kwa malefu, yaani upande wa mita nne ndiyo itakaa TV.Shida sio TV ukubwa gani.....Shida utaipanga vip sebule yako, upande unaotaka kuweka tv una upana gani....masofa utayaweka wapi na upande gani...ukijua hayo mambo utajua tv ukubwa gani unahitaji?!
Sasa kama kweny mabox tu ,si uweke 4k contents uone kama ni box au kwel ndo ununue [emoji2]afu mkuu mimi naona TV nyingi tunauziwa ni FHD hizi 4k wanaandika kwenye maboksi tu kuipamba[emoji2][emoji2][emoji2] unless zile za OLED TVs zile kweli zina 4k hadi 8k
Kuanzia inch 55 hadi 60 Hisense smart 4kSebule nitaipanga kwa malefu, yaani upande wa mita nne ndiyo itakaa TV.
Sebule nitaipanga kwa malefu, yaani upande wa mita nne ndiyo itakaa TV.
Ndio uzitaje ambazo ni hafifu na hizo quality. Hapa hujamsaidia kitu.afu ukiwa unanua TV mkuu make sure quality ya picha inakua sawa kila pande unayokaa kuitazama. maana kuna TV siku izi zina vioo fake ukikaa pembeni unaona watu kama wanafifia au kama zile negative kwenye camera za kizamani[emoji2][emoji2][emoji2] au mara watu kama watu wameungua[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2] daah