Niliwahi fikiria wazo hilo ila nikakutana na maswali kichwani haya;Panda mihogo au korosho
Huu sio muda wa kulala Mkuu...ni muda wa kazi huuNichek inbox nikupe ushauri nikiamka asubuhi.
Kwani ni lazima uoneshe kuww wewe ni mvuta bhange!?Unashamba afu haujui nini cha kupanda!Huna tofauti na mtu ambaye ameoa afu hajui kazi ya mke,kwa ushauri wangu panda mawe yakikua vuna ponda kokoto, fungasha kwenye vifuko sambaza kwenye masupermarket.
Raha ya bhange ukivuta unakuwa burudani kwa wenginePanda upupu
Unataka aingie kwenye list ?Panda mirungi mkuu hutajutia nakuambia!
Inaonesha ni jinsi gani usivyoweza kufikiri.Raha ya bhange ukivuta unakuwa burudani kwa wengine
Inbox ya nini si umwage maushauri hapa ujue mmoja akiuliza swali anatuwakilisha wengiNichek inbox nikupe ushauri nikiamka asubuhi.
panda (ganja) pesa yake chapchapHabari Wadau Jf,
Nina Shamba La Ekari 10 lipo Bagamoyo Pwani Karibu na Kidomole.
Bado ninatafakari nilime nini,ambacho naweza kuitumia Ardhi vema.Nipo Naishi Dar.
Angalau Mazao yasio ya Msimu itapendeza Zaidi.
Kulingana na Kazi yangu angalau bagamoyo nimeona ni Karibu kuwa na shamba.
Mkuu kwa uhakika wa kuelewa mazao gani yanatakiwa kupandwa kwenye shamba lako nakushauri uwasiliane na Kituo cha utafiti wa kilimo Mlingano, Tanga. Wao watakushauri vizuri sana baada ya kuchukua sampuli za udongo na kuzichambua kwenye maabara yao. Jamaa wapo vizuri sana tuwatumie, hutajutia watakuandikia ripoti safi ya ushauri.Habari Wadau Jf,
Nina Shamba La Ekari 10 lipo Bagamoyo Pwani Karibu na Kidomole.
Bado ninatafakari nilime nini,ambacho naweza kuitumia Ardhi vema.Nipo Naishi Dar.
Angalau Mazao yasio ya Msimu itapendeza Zaidi.
Kulingana na Kazi yangu angalau bagamoyo nimeona ni Karibu kuwa na shamba.
Safi sana. Hao wako vizuri ndio nilikuwa nawafikiriaMkuu kwa uhakika wa kuelewa mazao gani yanatakiwa kupandwa kwenye shamba lako nakushauri uwasiliane na Kituo cha utafiti wa kilimo Mlingano, Tanga. Wao watakushauri vizuri sana baada ya kuchukua sampuli za udongo na kuzichambua kwenye maabara yao. Jamaa wapo vizuri sana tuwatumie, hutajutia watakuandikia ripoti safi ya ushauri.