Habari Wadau Jf,
Nina Shamba La Ekari 10 lipo Bagamoyo Pwani Karibu na Kidomole.
Bado ninatafakari nilime nini,ambacho naweza kuitumia Ardhi vema.Nipo Naishi Dar.Angalau Mazao yasio ya Msimu itapendeza Zaidi.
Kulingana na Kazi yangu angalau bagamoyo nimeona ni Karibu kuwa na shamba.
Nina Shamba La Ekari 10 lipo Bagamoyo Pwani Karibu na Kidomole.
Bado ninatafakari nilime nini,ambacho naweza kuitumia Ardhi vema.Nipo Naishi Dar.Angalau Mazao yasio ya Msimu itapendeza Zaidi.
Kulingana na Kazi yangu angalau bagamoyo nimeona ni Karibu kuwa na shamba.