[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mtaje bhanaa....si wetu sote mm na ww...
Afu kwelii nyakunyaku wasije mnyakua buree😂[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Watatuibia.
Tukabaki na duwanzi[emoji23][emoji23][emoji23]Afu kwelii nyakunyaku wasije mnyakua buree[emoji23]
Anaetaka kuniona mi nipo tu ila kwa masharti mazito
Bora umegundua mapema nilikuwa nawafuatilia kimya kimya hapa[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Watatuibia.
Ilifanyika?Ungelipia ile get together party
Fanya kazi usiwaze uzezetaWakuu.
Sijawahi kukutana na mwanaJF mwenzangu yeyote yule toka nimejiunga hapa.
Najisikiaga vibaya sana tunatumia fake IDs. Why ? Kwanini wakuu ?
Mwenzangu uliwahi kukutana na mwanaJF yeyote jamani ?
Sina taarifa zake mkuu sasa sijui kama ilifanyika au laaIlifanyika?
Kwani vipi tena?? Mbona ghafla au unaogopa???[emoji849][emoji849][emoji849][emoji849]
Unataka uoe mke wa ngapi?
Naogopa!! Niogope nini?Kwani vipi tena?? Mbona ghafla au unaogopa???
Nimeshtushwa na swali lako!!!Naogopa!! Niogope nini?
Tubaki wajane vijana jomonii..lol😂Tukabaki na duwanzi[emoji23][emoji23][emoji23]