Nina shauku ya kukutana na mwanaJF mwenzangu

Nina shauku ya kukutana na mwanaJF mwenzangu

Wakuu.

Sijawahi kukutana na mwanaJF mwenzangu yeyote yule toka nimejiunga hapa.

Najisikiaga vibaya sana tunatumia fake IDs. Why ? Kwanini wakuu ?

Mwenzangu uliwahi kukutana na mwanaJF yeyote jamani ?
Fanya kazi usiwaze uzezeta
 
Kuna jamaa nishawai kutana nae yeye aliniambia kuwa anatumia jamii forums lakini mimi nilisema sihijui hiyo site

#da vinci
 
Back
Top Bottom