Niongezee kidogo hapo pia mkuu.Pole kwa matatizo... wadau wanakupa msaada ila na mi lazima nikuchane kiume.
Next time ukikopa... lazima utambue haya.
-pesa ya mkopo si ya kujengea wala kununulia kitu ambacho hakirudishi pesa kiwepesi ,,,
Yaani ununue kiwannja na haujengi... it means umezika pesa unakula nyaasi.
Sent from "La -Vista"
Kwa mtu mwenye familia huo sio mshahara wa kuutegemea hata kama hudaiwi na yeyote!
Mkuu,
Kakodi mashamba ya mpunga Morogoro, kilimo cha umwagiliaji.
Ama kodi vijana wakukatie mkaa uuze kwa bei ya jumla, utaweza rejesha huo mkopo.
Steve Jobs - Giant Of Technology.
Sawa mkuu, ni katika kutizama shughuli ambazo zitarejesha faida kwa muda mfupi ili aweze kuwalipa wanaomdai na yeye mwenyewe kuwa huru kifedha.mkuu taratibu kias na hicho kilimo!hana uzoefu nacho kitamkata! na ni gharama pia!labda anunue mpunga! naujua mpunga!
nadhani alipokuwa anakopa alikuwa na akili timamu (alielewa anachokifanya) mtaani wengi wanaopeshana kienyeji ile kusaidiana why akimbilie sheria kwa sababu kashindwa kulipa.hiyo sehemu uliyoenda kukopa inatambulika na serikali?
kama walikupa kienyeji tafuta msaada wa kisheria
Unafundisha masomo gani bro nikupe mchongo wa part time walau utakubust
ok.wewe na mkeo mpangane biashara ndogondogo muongeze kipato.lakini jisalimishe kwenye sheria kaeleze ulipokwamia kama binadamu nadhani kwakuwa unauhakika wa kupokea mshahara utapangiwa marejesho kila mwezi na zile riba zitasamehewa.(salini mkiomba) kwani madeni ni mkosi ndani yaani ukizidiwa madeni utampa sababu mke kuliwa nje huko.fikirini kabla ya kutenda kujengea wazazi si kwa mikopo ya riba tumia mshahara kwani nyumba mbovu ndo uliyokulia pale.taratibu pangeni mambo yenu.Mbarikiwe sana
Sent using Jamii Forums mobile app