chatu mkubwa
Member
- Aug 1, 2017
- 6
- 7
Mm n mwalimu wa shule ya msingi nilianza kaz 2014 mwaka huo huo nikafanikiwa kukopa mkopo ambao unanitesa kwel mpaka sasa mshahara wangu n mdogo Nina madeni kila kona mpaka kazi naiona gunia LA misumari,,,,
shida zaid kuna taasisi ya mtaani nilikopa 758000 nimelipa 350000 baada ya hapo nlipata matatizo yaliyopelekea nishindwe kurejesha PESA iliyobaki deni ilitakiwa liishe januali jamaa wamenifuata juzi wakanipigia mahesabu kwa riba natakiwa nilipe milioni moja na laki saba 1700000
Mshahara wangu in laki moja na arobain 140000 Nina mke na mtoto mmoja naambiwa niwe nawapa laki moja kila mwezi wamedai nkienda tofauti wananipeleka kwenye vyombo vya sheria ntaishije Mimi kwa 40000 inayobaki
Naomba MSAADA wa mawazo hasa kisheria maana sina amani
Sent using Jamii Forums mobile app
shida zaid kuna taasisi ya mtaani nilikopa 758000 nimelipa 350000 baada ya hapo nlipata matatizo yaliyopelekea nishindwe kurejesha PESA iliyobaki deni ilitakiwa liishe januali jamaa wamenifuata juzi wakanipigia mahesabu kwa riba natakiwa nilipe milioni moja na laki saba 1700000
Mshahara wangu in laki moja na arobain 140000 Nina mke na mtoto mmoja naambiwa niwe nawapa laki moja kila mwezi wamedai nkienda tofauti wananipeleka kwenye vyombo vya sheria ntaishije Mimi kwa 40000 inayobaki
Naomba MSAADA wa mawazo hasa kisheria maana sina amani
Sent using Jamii Forums mobile app