Nina shida na mkopo, dhamana ipo

Nina shida na mkopo, dhamana ipo

Habari wapendwa nina shida ya mkopo kwa dhamana ya godown na servant quorta ya vyumba 2 sabab ni kuweza kuleta mashine toka nje nilizolipia tayari 30% kama utaguswa ni save eneo lina square meter 6000 lina hati title deed kiasi mil 100 nitalipa kwa mwaka riba isizid 20 kwa mwaka au ataye nisaidia bank ambayo itapokea dhamana hii na kunipa loan basi tutazungumza nae ili mkataba wangu usivunjwe bado 2 weeks niwe nimemaliza lipia na kusafirishiwa kabisa
Mkuu Kama Una vyote hivo kwann usiende bank Moja kwa Moja uanze procedures zote
 
Nimecheck bank naona wanakubali ila wanataka biashara ni sawa nina biashara ila transaction zake ziko chini sababu ya ujenzi issue ni bank pia jengo lipo mkoa jirani na dar nilipo
Unataka mkopo kiasi gani? Je uko tayari Eneo libadirishwe umiliki lisomeke jina la anayekukopesha mpaka hapo utakaporejesha pesa?, Jengo lipo mkoa gani?
 
Unataka mkopo kiasi gani? Je uko tayari Eneo libadirishwe umiliki lisomeke jina la anayekukopesha mpaka hapo utakaporejesha pesa?, Jengo lipo mkoa gani?
Acha utapeli na upumbavu mmetanguliza tamaa sana,sasa MTU hajaanza hata kulipa mkopo wewe umisha piga hesabu ya yeye kushindwa.
 
Ingia ubia na mtu mfanyebiashara pamoja mimi sioni kama kuna mtu wa kukupa hela yake kwa kutegemea riba na ukizingatia serikali ilishapiga marufuku kwa mtu kutoa au kufanya biashara ya kukopesha bila kibali maalumu...Weka idea ya biashara mezani tuone ni namna gani ya uwekezaji hapo tunaweza kuufanya!
 
Unajua process za kubadilisha umiliki zinachukua siku ngapi?
Kwa wale mapapa wa mjini ni siku tatu tu,lakini akina siye na haki zetu halali ni mwendo wa mamiezi,utapigwa mguu hapo ardhi mpaka viatu viishe.
Wizara ya Ardhi ndiyo wizara ya ajabu kabisa kuliko zote, matapeli ndiyo wapendwa wao!
 
Bank nchi hii hawana tofauti na vikundi vya vicoba shida sana kupata mikopo na sio partner katika kufanya nao biashara maana mikopo kwa kiasi kikubwa ndio inawaweka mjini lakini hawa maofisa mikopo wa Bank zetu kama miungu mtu unaenda badala ya kuku treat kama customer unawahitaji na wanakuhitaji lakini utasema wewe ndio ombaomba wanajiona kama miungu mtu, kama utaweza kupata njia nyingine bora bank zetu ni majanga wakianza kudai bora hata ya Mangi akudai... utaona dunia chungu. Niliwahi kupata mkopo na nikalipa leo hii naona bank kama kituo cha police sitaki hata urafiki nao na nime wa delete kabisa.
 
Rais wetu aone namna ya kuanzisha bank nyingine ambayo itakuwa na fedha za kutosha na easy accessibility, yaani ukikamilisha doc, na miradi ni genuine na baada ya kujiridhisha na mawili matatu mtu apatiwe fedha, alimradi ziwe chini by 75% ya asset value iliyopo! "Bond house" ulaya ipo hii sana, haya mabenki mpaka upate mkopo ni mwaka, na mradi wenyewe unakuwa tena hauna maana.
N. B, Tatizo la maofisa wa mabenki ni ten percent bila hii upate mkopo, ajabu yao na walivyo na roho mbaya, ni hao hao pale unapodelay wanakuja kukutisha kukuuzia asset yako bila aibu kabisa.
 
Bank nchi hii hawana tofauti na vikundi vya vicoba shida sana kupata mikopo na sio partner katika kufanya nao biashara maana mikopo kwa kiasi kikubwa ndio inawaweka mjini lakini hawa maofisa mikopo wa Bank zetu kama miungu mtu unaenda badala ya kuku treat kama customer unawahitaji na wanakuhitaji lakini utasema wewe ndio ombaomba wanajiona kama miungu mtu, kama utaweza kupata njia nyingine bora bank zetu ni majanga wakianza kudai bora hata ya Mangi akudai... utaona dunia chungu. Niliwahi kupata mkopo na nikalipa leo hii naona bank kama kituo cha police sitaki hata urafiki nao na nime wa delete kabisa.
Ni kweli kabisa ndugu bank nyingi za hapa kwetu ni vicoba pro max.
 
Ila kwa upande mwingine una makosa, kwanini uagize mashine wakati hujajipanga, huko kujilipua sio kabisa.

Mipango inatakiwa iende kwa mahesabu, sio kwa kubahatisha labda kama kuna sababu ingine.
 
Ni kweli kaka sikua na issue sana ila nilipoamua kujenga godwn ndipo mambo yaka change ila nina kibiashara pia kiliyumba kidogo ila sasa kimeanza kaa sawa ndio maana nikasema hivi
 
Back
Top Bottom