Annonymous
JF-Expert Member
- May 9, 2013
- 688
- 1,126
Habarini wakuu
Ni mfanyabiashara na mwajiriwa wa kampuni moja ya mawasiliano Tanzania.
Nina shida na million 6 kwa marejesho ya kuanzia miezi 10.
Naamini baadhi yetu ni wazoefu wa mikopo. Wapi naweza kupata mkopo huu.
Ni mfanyabiashara na mwajiriwa wa kampuni moja ya mawasiliano Tanzania.
Nina shida na million 6 kwa marejesho ya kuanzia miezi 10.
Naamini baadhi yetu ni wazoefu wa mikopo. Wapi naweza kupata mkopo huu.