Nina shida na mkopo wa 6M kwa marejesho ya miezi 10

Nina shida na mkopo wa 6M kwa marejesho ya miezi 10

Kwenye maduka ya jewelry kwa wahindi hakuna mbambambaa, dhahabu inauzwa kwa gramu, unatajiwa bei ya gramu kama ni pete au cheni, mzani digital uko pale inawekwa unasoma gramu mwenyewe, unanunuwa cheni au Pete kutokana na uwezo wako.

Kama sikosei bei ya gram moja kwa Sasa inaweza kuwa around tsh laki tatu au pungufu.

Sasa kazi ni kwako unataka kuhifadhi gram ngapi shingoni au kidoleni.

Ila nakuhakikishia hakuna duka la jewelry wanalouza dhahabu fake, huo ni uhuni wa huko migodini ndio wanauziana matakataka.

Nadhani siyo kwamba ni fake issue ni kwenye karat

Juzi rafiki yangu kaenda kuchange Pete
Mwanzo alikua na 22K
Wamembadilishia wakampa 18K

Yeye Mwenyewe wala hakujua

Na baadhi ya sonara wanatumia advantage ya kutokujua anakuuzia 18K kwa Bei ya 22K
 
Nenda taasisi yoyote ya fedha; ingawa marejesho unaweza kurudisha milioni 9 au 10
 
Tanzania swala la milopo Lina changamoto kubwa mno,watu wanaweza kuja kukuvisit wakapiga mapicja kibao wanakudhalikiaha bado mkopo mpaka upewe inachukua miezi.

Wakopeshani na wakopeshwaji wote ni majanga, wa Tz hawaogopi madeni yaani hawalipi kabisa.

Ndiyo maana hizi microfinance haziishiwi wateja Kwa riba ya 15%
 
Jewelry na land ni asset zisizohitaji rocket science kuwekeza, hazikutupi hata siku moja.

Mimi hii January kila nikiichungulia bill za shule bado zinanichanganya sizielewi, nakunywa kiwanja kimoja million 10, niliwekeza millioni 4 tu.
Tunaomba ufafanue mkuu. Utatusaidia sana
 
Tanzania swala la milopo Lina changamoto kubwa mno,watu wanaweza kuja kukuvisit wakapiga mapicja kibao wanakudhalikiaha bado mkopo mpaka upewe inachukua miezi.

Wakopeshani na wakopeshwaji wote ni majanga, wa Tz hawaogopi madeni yaani hawalipi kabisa.

Ndiyo maana hizi microfinance haziishiwi wateja Kwa riba ya 15%

Mkuu nimeona mpaka 30%. Na watu wanakopa
 
Back
Top Bottom