Matatizo yanaweza kuwa psychological more than physical. Mchukulie mke wako kama rafiki wa kushare nae maisha rather than a sexual partner, relax na ikiwezekana mueleze akikupa udhirikiano itakuwa vyema
Jamani Mimi si dr.Dr. Asante
Tezi dume muone daktari harakaHabarini za mchana wanajanvi rejeeni kichwa cha habar hapo juu nimeoa na nina mke ila cjapata mtoto bado ninashida ya kuchelewa kufika kileleni na pia natoa shahawa kiasi kidogo ,hiki kitu kimenianza baada ya kufunga ndoa sikuwa hivi kabla nilikuwa na uwezo wa kwenda hata round tano ,hii lakini nilipata minor stroke hivyo nilipinda mdomo na jicho kutoa machozi viungo vingine viko salama na nilishapona kasoro jicho linatoa machozi ,naombeni msaada kwa anae jua dawa au ushauri karibuni
Inaonyesha uliwapa shida sana walimu wako kukuelewesha.Umeoa na una mke?
[emoji106]Matatizo yanaweza kuwa psychological more than physical. Mchukulie mke wako kama rafiki wa kushare nae maisha rather than a sexual partner, relax na ikiwezekana mueleze akikupa udhirikiano itakuwa vyema
Sasa huyo anaye chelewa kumaliza shughuli si ndio wanawake mnapenda? Labda hapo tatizo ni kutoa wazungu wachache na pengine ni dhaifu yaani fertiliy yake kuwa ndogo. Jombaa akomae na diet yenye vyakula vya halisi vyenye kuongeza libido.Duhhhhhhhhhhh. Pole yake jamani kwa minavojua sisi wanawake wa kileo na hayo mamboz mh !!!
Mahondaw wa Smart911
Oops nilisoma vibaya kumbe nilidhani anawahi ndomana nilisema hivo..yeah mwendokasi women tunapenda long distance trade hahahaah.. You got me jombaa!Sasa huyo anaye chelewa kumaliza shughuli si ndio wanawake mnapenda? Labda hapo tatizo ni kutoa wazungu wachache na pengine ni dhaifu yaani fertiliy yake kuwa ndogo. Jombaa akomae na diet yenye vyakula vya halisi vyenye kuongeza libido.