Kilimbatzz
JF-Expert Member
- Feb 11, 2023
- 9,134
- 14,593
Aahhaaaaa,nipe sure odds mkuuIyo mbona mkeka mmoja tu.
Nyumba yangu thamani yake ni 15m,haifiki hiyo helaUza nyumba yako mkuu fasta tu.
Nikalime nini mkuu!?NENDA UKALIME
nimeshangaa pia ili upate 500000 kama gawio la mwezi inatakiwa uweke si chini ya 60 millionsKwa hyo ukkwekeza 30m utt gawio 500k per month??
Kuna ubaya gani? Au Kila mtu apige debeee k,kooUnataka pesaza dezo yaani unataka kuilisha familia kwa pesa za riba
Ili mradi iwe riziki ya halali tuu sasa 30 Mil unatoa wapi na hela huna. Weka hela vuna hela.Kuna ubaya gani? Au Kila mtu apige debeee k,koo
Sijajua nimeguess tuKwa hyo ukkwekeza 30m utt gawio 500k per month??
Sawa mkuu,Kwa 30m wanakupa shs ngapi!?Nenda kaweke fixed dipost kwenye Bank ya finca wanatoa riba nzuri Hadi 12 kwa mwaka
Kuna ubaya gani!?Unataka pesaza dezo yaani unataka kuilisha familia kwa pesa za riba
Ni guess tu siijui riba yaoKwa hyo ukkwekeza 30m utt gawio 500k per month??