Nina Shilingi Milioni moja, nawezaje kujikomboa kimaisha?

Nina Shilingi Milioni moja, nawezaje kujikomboa kimaisha?

Mzee ahmadi

Member
Joined
Sep 8, 2014
Posts
5
Reaction score
0
kama nina pesa taslim sh. milion moja. 1 naweza kuifanyia nini ili nisonge kimaisha
 
hiyo nikubwa sana hasa ukitulia na kufanya biashara yako unaweza ukadili na fashion ukatoka ndg
 
unaanzia kwanza ktk jamii inayokuzunguka ukuanza hapo utapata mwanga wa kupanua wigo wako ni mwanzo tu huwa mgumu@Mc Luggy
 
Ndgu yangu mtaji wa tsh mil.moja ni mkubwa sana nigependa ugefafanua vizuri kwenye uzi wako kwamba uko wapi(mjini au vijijini) na jinsia yako, na je? uko tiyari kufanya biashara yoyote ambayo haivuji sheria za nchi.

tunasubiri jibu lako mkuu.
 
unaanzia kwanza ktk jamii inayokuzunguka ukuanza hapo utapata mwanga wa kupanua wigo wako ni mwanzo tu huwa mgumu@Mc Luggy

Sawa sawa nimekusoma kaka na vp kuhusu muda inahitaji muda sana
 
Ndgu yangu mtaji wa tsh mil.moja ni mkubwa sana nigependa ugefafanua vizuri kwenye uzi wako kwamba uko wapi(mjini au vijijini) na jinsia yako, na je? uko tiyari kufanya biashara yoyote ambayo haivuji sheria za nchi.

tunasubiri jibu lako mkuu.

Kwa mfano mm nipo hapa dar vp nipe mchanganuo mkuu
 
Tafuta duka lililo ndani kdg upate unafuu wa kodi,,, fungua duka la mahitaji madogo madogo ya nyumbani..
note; utuletee mrejesho
 
nipo Mbozi kaka!VP mishe gani hapo dar?

Mi nipo na harakat ndogo ndogo tu za hapa na pale but ndo kama hivi mitaji midogo tunaangalia na kujifunza nini naweza kukifanya kwa kujiajili mwenyewe na nikajikwamua
 
Tafuta duka lililo ndani kdg upate unafuu wa kodi,,, fungua duka la mahitaji madogo madogo ya nyumbani..
note; utuletee mrejesho

Ulipaji wake ni mdogo mdogo sana na kwa 1mil mzigo utakuwa ni wa kawaida sana..
Cjui labda ila kwa mtazo wangu ninavyoona mie
 
mwanzo ni mgumu lkn wengi wamefanikiwa na sasa wanafanya mambo makubwa whatsap me 0686 87 18 87
 
Mr luggy unaweza kujikwamua kaka wala usijali kikubwa ni kuthubutu basiii
 
Back
Top Bottom