Nina Shilingi Milioni moja, nawezaje kujikomboa kimaisha?

Nina Shilingi Milioni moja, nawezaje kujikomboa kimaisha?

Kwa mfano mm nipo hapa dar vp nipe mchanganuo mkuu

shukuri sana mkuu,

kwa upande wa dar es salaam kutokana na wingi wa watu naamini kabisa biashara inayoongoza ni chakula, kuna aina mbili unazoweza kuzifanya; kufuata vyakula mikoani au kufanya biashara ya kufungua genge katika maeneo yenye mkasanyiko wa watu wengi na hasa kwenye masoko.

napenda tuongelee furusa ya kufuata nafaka na bidhaa mbalimbali mkoani na kuzisafirisha kwa usafiri wa trani, unaweza ukaanza kwa kufuata ndagaa katika mikoa ya mwanza na kingoma na kuleta kwa wauzaji wa reja reja katika masoko mbali mbali ya hapo dar es salaam.nimejaribu kufanya reseach hapo dar es salaam nikambiwa kilo ya ndagaa tsh3800 kwa bei ya reja reja. (kwa mwanza na kingoma nakuachia na wewe ukafanye reseach)

kwa mikoa hii ya mwanza, shinyanga, bei ya viatu na nguo vya mitumba viko bei ya juu sana. fanya unapofuuta bidhaa mkoani usiende bure neenda na bidhaa ambazo unaona ukifika kule utafanya biashara.
 
kweli kabisa kaka mi nimethubutu japo sijafanikiwa bado ila sikati tamaa najua hakuna kumi pasipo moja au mbili@mein
 
shukuri sana mkuu,

kwa upande wa dar es salaam kutokana na wingi wa watu naamini kabisa biashara inayoongoza ni chakula, kuna aina mbili unazoweza kuzifanya; kufuata vyakula mikoani au kufanya biashara ya kufungua genge katika maeneo yenye mkasanyiko wa watu wengi na hasa kwenye masoko.

napenda tuongelee furusa ya kufuata nafaka na bidhaa mbalimbali mkoani na kuzisafirisha kwa usafiri wa trani, unaweza ukaanza kwa kufuata ndagaa katika mikoa ya mwanza na kingoma na kuleta kwa wauzaji wa reja reja katika masoko mbali mbali ya hapo dar es salaam.nimejaribu kufanya reseach hapo dar es salaam nikambiwa kilo ya ndagaa tsh3800 kwa bei ya reja reja. (kwa mwanza na kingoma nakuachia na wewe ukafanye reseach)

kwa mikoa hii ya mwanza, shinyanga, bei ya viatu na nguo vya mitumba viko bei ya juu sana. fanya unapofuuta bidhaa mkoani usiende bure neenda na bidhaa ambazo unaona ukifika kule utafanya biashara.

Ebu nifuatilie kwanza hilo nione ni kiac gani
 
Kwa mfano mm nipo hapa dar vp nipe mchanganuo mkuu

Pia unaweza kutafuta eneo(kuna maeneo kingamboni geza,kimbiji n.k unaweza kupata kwa bei nafuu sana, na bei ya kupanga vyumba unaweza kupata chumba unalicholipia elfu kumi kwa mwezi)


Unaweza kufika huko nakuanza ufungaji wa kuku wa kienyeji, huko unaweza kupata kuku wa kienyeji kwa bei ya tsh13000 hadi tsh 15000, kwa kuanza tu unaza na kuku 30 majike na madume matano ukipiga hesabu hapo utagundua haifiki hata laki tano.

naamin katika kipindi cha wiko moja utaaza kurudisha hela yako kwa kuuza mayai.
 
Pia unaweza kutafuta eneo(kuna maeneo kingamboni geza,kimbiji n.k unaweza kupata kwa bei nafuu sana, na bei ya kupanga vyumba unaweza kupata chumba unalicholipia elfu kumi kwa mwezi)


Unaweza kufika huko nakuanza ufungaji wa kuku wa kienyeji, huko unaweza kupata kuku wa kienyeji kwa bei ya tsh13000 hadi tsh 15000, kwa kuanza tu unaza na kuku 30 majike na madume matano ukipiga hesabu hapo utagundua haifiki hata laki tano.

naamin katika kipindi cha wiko moja utaaza kurudisha hela yako kwa kuuza mayai.

Daaaah hii nzur pia

Nina eneo nilinunua kibaha but kutokana na hilo uliloniambia ebu nifanye research huko kigamboni na kimbiji coz ni jirani zaid na hapa nilipo
 
Nunua nguo za watoto na wanawake, nunua na t.shirts,,,, anza kutembeza mtaani kwanza... na kuwakopesha baadhi ya watu wa mtaani kwako.
usikimbilie kuchukua frame ..nchi yetu ina kodi nyingi na kubwa ,,, fanya kama machinga... Ukiwa na bidii mtaji utakua baadae unaweza fungua duka la nguo.
 
Pia unaweza kutafuta eneo(kuna maeneo kingamboni geza,kimbiji n.k unaweza kupata kwa bei nafuu sana, na bei ya kupanga vyumba unaweza kupata chumba unalicholipia elfu kumi kwa mwezi)


Unaweza kufika huko nakuanza ufungaji wa kuku wa kienyeji, huko unaweza kupata kuku wa kienyeji kwa bei ya tsh13000 hadi tsh 15000, kwa kuanza tu unaza na kuku 30 majike na madume matano ukipiga hesabu hapo utagundua haifiki hata laki tano.

naamin katika kipindi cha wiko moja utaaza kurudisha hela yako kwa kuuza mayai.

Kaka una habar za hayo maeneo uuzaji wake ni kiac gani wanaanzia
 
Kaka una habar za hayo maeneo uuzaji wake ni kiac gani wanaanzia

Ninayokuelezea mkuu ni ukweli, kuku jike wananuliwa kwa tsh1500.

na huko kigamboni(GEZA) kuna babu yangu anafanya hiyo biashara
 
Ninayokuelezea mkuu ni ukweli, kuku jike wananuliwa kwa tsh1500.

na huko kigamboni(GEZA) kuna babu yangu anafanya hiyo biashara

Ok ok na aridhi wanaanzia kiac gan na kwa ukubwa gani
 
Ok ok na aridhi wanaanzia kiac gan na kwa ukubwa gani

Asante sana!

maeneo hayo; nimaeneo yanalionunuliwa na watu mbali mbali wanaoishi mjini kuna watu kule wamejenga nyumba zao na wanatafuta watu waaminifu wa kusimamia nyumba na mashamba yao, kwa hiyo ndgu unaweza ukabatisha ukapata eneo bure kabisa,

lakn hata kwa hela haiwezi ikazidi elfu kumi na tano.
 
Asante sana!

maeneo hayo; nimaeneo yanalionunuliwa na watu mbali mbali wanaoishi mjini kuna watu kule wamejenga nyumba zao na wanatafuta watu waaminifu wa kusimamia nyumba na mashamba yao, kwa hiyo ndgu unaweza ukabatisha ukapata eneo bure kabisa,

lakn hata kwa hela haiwezi ikazidi elfu kumi na tano.

Nimekupata kaka
 
Back
Top Bottom