Nina siku 4 tangu niende kwa Malaya

Nina siku 4 tangu niende kwa Malaya

Siku 4 dalili za ngoma zinatoka wapi?
Acha wenge kula maisha.
 
Mkuu wahi pharmacy ulizia kuna dawa inaitwa P2 meza za kutosha sijui inafanya nini wewe waelezee tatizo lako wakupe.... nasikia wajanja wa mjini wanamezaga wakitoka kuuza mechi[emoji205]
Hahahahahha
 
Wanajamvi habarini, juzi kati nilikwenda kwenye moja ya machimbo maarufu ya malaya hapa Dar, tulitumia kinga na kinga haikupasuka, ila tulidumu kwa muda mrefu kidogo, baadaye nikagundua kuwa kwenye uume shingoni kulikuwa na mchubuko, na baada ya kama siku mbili hivi naanza kuhisi macho yanakuwa kama mazito hivi, kichwa kinakuwa chepesi, uchovu kwa mbali basi. Hamu ya kula ninayo, nina dalili hizo tu... Nimeanza kuogopa muda huu, yaani natamani kulala kila muda.
Eh eh tayari
 
Usiogope mkuu wasiwasi huponza sana, kikubwa chukua muda nenda kapime kwanza

Swala la kuchubuka ukiwa umevaa ndomu ukiitumia kwa muda mrefu linawezekana endapo hukuivaa vizuri mkuu, sasa kwa hali kama hiyo hatari yake ipo wakati wa kuivua, maana ukishika ndomu sehemu ya nje ambayo ilikua inagusana na nyapu then ukashika pipe kuna uwezekano wa kuhamisha jambo, na ndio maana wanashauri sana kuvua na tissue ama toilet paper

Kaza moyo subiria majibu ndio utajua unasimama wapi, ukijitisha utakonda karibu Kua njiti
 
Duh mkuu wanawake mtaani hakuna hadi ukalale na mwanamke wa kila mtu. Duh, mm sijui nikoje aisee hao naona kinyaa kabisa as longa as najua anajiuza sio salama kwa Matumizi sina hakika labda sababu mm mzee wa pekupeku
Hao wa mtaani pia ogopa sana kabla haujatoka nae ni vizuri kchunguza kwanza mienendo yao mana wengi wanakuwaga na malazi bila kujijua hivyo Kama utafanya nae ngono inakuwa rahisi na wewe kupata
 
Wanajamvi habarini, juzi kati nilikwenda kwenye moja ya machimbo maarufu ya malaya hapa Dar, tulitumia kinga na kinga haikupasuka, ila tulidumu kwa muda mrefu kidogo, baadaye nikagundua kuwa kwenye uume shingoni kulikuwa na mchubuko, na baada ya kama siku mbili hivi naanza kuhisi macho yanakuwa kama mazito hivi, kichwa kinakuwa chepesi, uchovu kwa mbali basi. Hamu ya kula ninayo, nina dalili hizo tu... Nimeanza kuogopa muda huu, yaani natamani kulala kila muda.
Mseminari ndo unaanza ukahaba hapo.

Taratibu utazoea na hakika hao wa chimbo hata chumvini utazama.

Hizi ni hatua za awali kaka, ukimpata mwingine leo leo utaona namna huo uchovu unavyogeuka faraja
 
Usiishie kukosoa, toa elimu.
Ngwengwe ina kitu tunaita stages

Ambapo ishu ya dalili inategemea na kinga ya muhusika iko kiasi gani ndiposa dalili zionekane lakini baada tu ya kupata vimelea vya virus mara nyingi ni week 3 mpaka 4 unapokwenda kufanya kipimo hasa cha kit's nikiwa na maana ya vile vitendanishi itaonyesha positive kama mwili utakuwa umeshazalisha kitu kinaitwa antibodies lakini mtu huyu anaweza asiwe na dalili zinazoonekana moja kwa moja.

Tufahamu tu ya kwamba, wapo watu wana kinga imara hivyo inawachukua hata miaka 15 ndipo uje uone dalili za moja kwa moja nikiwa na maana physical features (ushahidi Huu upo).

Kwanini ni week 3 mpaka 4 ni kwasababu mtu anakuwa kwenye kipindi cha mpito kitaalamu tunakiita (window period) lakini kuna baadhi ya vipimo vikubwa vinavyoonyesha reaction ambapo huchukua week moja tu tangu upate maambukizi...

Dalili subiria kesho

Itaendelea
 
Ngwengwe ina kitu tunaita stages

Ambapo ishu ya dalili inategemea na kinga ya muhusika iko kiasi gani ndiposa dalili zionekane lakini baada tu ya kupata vimelea vya virus mara nyingi ni week 3 mpaka 4 unapokwenda kufanya kipimo hasa cha kit's nikiwa na maana ya vile vitendanishi itaonyesha positive kama mwili utakuwa umeshazalisha kitu kinaitwa antibodies lakini mtu huyu anaweza asiwe na dalili zinazoonekana moja kwa moja....


Tufahamu tu ya kwamba, wapo watu wana kinga imara hivyo inawachukua hata miaka 15 ndipo uje uone dalili za moja kwa moja nikiwa na maana physical features (ushahidi Huu upo)


Kwanini ni week 3 mpaka 4 ni kwasababu mtu anakuwa kwenye kipindi cha mpito kitaalamu tunakiita (window period) lakini kuna baadhi ya vipimo vikubwa vinavyoonyesha reaction ambapo huchukua week moja tu tangu upate maambukizi...

Dalili subiria kesho

Itaendelea
Good hivi ndio tunataka, kipimo cha biolone kinadetect baada ya siku ngapi mkuu?
 
Back
Top Bottom