Duh mkuu wanawake mtaani hakuna hadi ukalale na mwanamke wa kila mtu. Duh, mimi sijui nikoje aisee hao naona kinyaa kabisa as long as najua anajiuza sio salama kwa Matumizi sina hakika labda sababu mimi mzee wa pekupeku
Bora upewe mapenzi na mwanamke ambaye unajua kabisa anakupa mapenzi Kwa sababu ya Hela zako, kuliko kupewa mapenzi na demu ambaye anakunafikia anakupenda kumbe na yeye she's after ur money