C.T.U
JF-Expert Member
- Jun 1, 2011
- 5,074
- 3,743
Akiongea sasa hivi kwenye kipindi cha mkasi HEMEDY PHD amesema kuwa yeye
ni mtu ambaye asiyependa kuoga na tatizo hilo alilianza tokea akiwa mdogo
Host wa kipindi hicho salama jabil akienda mbali kumuuliza ni lini ilikuwa mwara yake ya mwisho ya kuoga na hemedi bila aibu alijibu na kusema
SIKU NNE ZILIZOPITA