Nina soft cop kama nusu ya kitabu cha Mashimo ya Sulemani.

blackstarline

JF-Expert Member
Joined
Sep 19, 2016
Posts
3,278
Reaction score
7,966
Je, ni sahihi kukiweka hapa? Au maana nimetamani pia wanajukwaa tuburudike pamoja. Kitabu cha mashimo ya sulemani nikitabu bora sana japokuwa ni cha kizamani sana.
 
Kiweke mkuu tujifunzee ....wengine ndio starehe yetu kusoma vtabu
 
Je, ni sahihi kukiweka hapa? Au maana nimetamani pia wanajukwaa tuburudike pamoja. Kitabu cha mashimo ya sulemani nikitabu bora sana japokuwa ni cha kizamani sana.
vip kiweke sasa unitag
 
MKUU,

WEWE NI MUONGO,
HAUNA HIYO SOFTCOPY!!

"Katibu Mwenezi wa Wasoma Comments."
 
Hana hiyo soft copy,analeta porojo tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…