Chura
JF-Expert Member
- Sep 22, 2009
- 1,385
- 2,402
Wajuvi naomba msaada wa Kitaalamu, Unatoka zako Job mwanao wa damu anakupigia simu uende mahali mkale vyombo, unamsisitiza wewe umepumzika anakwambia hata maji tu na msosi basi unaamua kwenda.
Umeenda kujiunga nao kupiga Vyombo ila ww ukawa hunywi, mwana na manzi yake wakawa wanaagiza sana yani shusha vitu weka vitu na misosi ya kuzidi, wakati huo wewe mzee mkubwa umeagiza maji tu, sasa wakati mnapiga vitu nwana anaanza ongea na simu afu anajikataa kiaina.
Yani unabaki ww na shemeji afu bonge la bili linakuja na ww mtaalamu una yako tu ile ya maji.
Gafla muhudumu anakuja anaomba bili, shift yake imeisha anataka kukabidhi, unamwambia nipe dk 5 unamuuliza shem vipi unakava? Unashangaa shem jasho linamtoka, mnampigia mwamba hapokei simu.
Hapo unajitoaje wajuvi unamuita waiter unamuambia kila mtu alipe? alichokunywa na kuagiza au unafanyaje maana shem anakuangalia kwa jicho la huruma yan ukilipa unamla bure bure, ila sasa huna noti unafanyaje wakubwa?
Umeenda kujiunga nao kupiga Vyombo ila ww ukawa hunywi, mwana na manzi yake wakawa wanaagiza sana yani shusha vitu weka vitu na misosi ya kuzidi, wakati huo wewe mzee mkubwa umeagiza maji tu, sasa wakati mnapiga vitu nwana anaanza ongea na simu afu anajikataa kiaina.
Yani unabaki ww na shemeji afu bonge la bili linakuja na ww mtaalamu una yako tu ile ya maji.
Gafla muhudumu anakuja anaomba bili, shift yake imeisha anataka kukabidhi, unamwambia nipe dk 5 unamuuliza shem vipi unakava? Unashangaa shem jasho linamtoka, mnampigia mwamba hapokei simu.
Hapo unajitoaje wajuvi unamuita waiter unamuambia kila mtu alipe? alichokunywa na kuagiza au unafanyaje maana shem anakuangalia kwa jicho la huruma yan ukilipa unamla bure bure, ila sasa huna noti unafanyaje wakubwa?