Nina supp diploma na jina limo ajira mpya, nikaripoti?

mi nimepangwa bwafumba sec buhigwe district ambako nasikia ni mpakani na Burundi na wakimbizi washaanza kuingia kigoma sasa huko si balaa yaani mpaka naogopa kwenda

Hahaha ni kweli mkuu leo wameingia wengi sana lakini wanawapeleka kambi ya nyarugusu kwaio wewe usiwe na wasi wasi
 
ilo ni zali za mentali,huna uchungu wa maisha nahic
 
Acha Nazi utafungwa
Jina lipo sa cjui unauliza nn wakati wanajua km unasup...vijana wengne hawapaswi kuwa waalimu kwa style hii
 
mi nimepangwa bwafumba sec buhigwe district ambako nasikia ni mpakani na Burundi na wakimbizi washaanza kuingia kigoma sasa huko si balaa yaani mpaka naogopa kwenda

kuna tope pale na funza wakitosha poleeeee yako
 
Du kumbe kuna uzembe kiasi hiki
ngoja tutafuatilia ninyi ni Wanachuo wazuri
yaani waliofaulu wanakosa kazi
wenye Supp wanapata barua za kuajiriwa halafu wasipofaulu MISHAHARA inaanza kuwa HEWA
TANZANIA NIIJUAYO
 
Hahaha ni kweli mkuu leo wameingia wengi sana lakini wanawapeleka kambi ya nyarugusu kwaio wewe usiwe na wasi wasi

Bwafumba siyo porin ndg yang ni shule iliyoko kijiji cha karibu na wilaya mpya ya Buhigwe, in fact si pabaya kivile . Nadhan umesharipot umepaona. nyumban hapo,
 
Karipoti wewe..kila kitu kifahamika mbele kwa mbele...mbona wamekupanga wao..
 
Utaratibu wa ajira serikalini unapoenda kuripoti ni lazima uwe na original certificates kuanzia cheti cha kuzaliwa, cheti cha form four na cha diploma yako pia tatizo ni kwamba hata ukiripoti kitendo cha kutokuwa na moja ya nilivyovitaja huwezi kuingia kwenye payroll ya serikali
 
ww umepata kazi alafu unaanza uliza ushauri kwamba ukaripot au laaaa...waliokupa ajila hawakuona kama una sap...

tatizo lililopo katika kada za ualimu, afya, kilimo na mifugo ni kwamba wizara husika huwa zinawapanga bila ya kuwafanyia usaili wowote kwani wangefanyiwa usaili ingebidi wawasilishe vyeti lakini hawafanyi hivyo bali wanachukua tu list ya watu waliomaliza na kuwapangia vituo bila kujua wengine wanavimeo, huwezi ingia kwenye payroll ya serikali na supp
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…