Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ongezea jibuUmejiuliza na kujijibu mwenyewe.
Mjadala umeufunga mwenyewe.
Hizo level ni kubwa Sana kwa kiba itakuwa umemuonea sana ili ufike uko unatakiwa ngoma yake iwe imehit sana Africa ukiangalia kiba hakuna hata ngoma yake mwaka huu uliohit ndan na nje ya nchi.Ongezea jibu
Kwa hio Harmonize ni bora kuliko ali kibakuli ?Hizo level ni kubwa Sana kwa kiba itakuwa umemuonea sana ili ufike uko unatakiwa ngoma yake iwe imehit sana Africa ukiangalia kiba hakuna hata ngoma yake mwaka huu uliohit ndan na nje ya nchi.
Kwa Sasa hivi ukimtoa diamond anaefuata ni harmonize,harmo amemzidi kiba kwa kufanya vizuri kuanzia ndani Hadi nje ya nchi hata ukiangalia kiba show zake za nje ya nchi anafanyia kwenye club heshima itakujaje? Hata ukiangalia huu mwaka amepata show chache Sana harmo anafanya show kwenye sehemu ambapo kiba tokea aanze kufanya mziki hajawahi kwenda anaishia kuona kwenye ramani tu.Kwa hio Harmonize ni bora kuliko ali kibakuli ?
Harmonize habari nyingine blaza...ali kiba bongo ndo anajulikana...na mombasa. Tena na hawa wasanii wake ndio amezidi kuonesha wasivyoweza yaani nilikua najua ngoma yao ya rhumba ni bonge la ngoma siku nimeiskiliza nilidhani ni ngoma ya ma-underground wa enzi zile bongofleva imeanzaanza. Wabadilike kama wanataka kuwainua wale madogo na kuleta ushindani kwenye game. Tena yule Abdu kiba ndio aache kabisa kuimba maana utasema analia...na yule mwingine anabana pua kama gasho eti anaimba hata mjomba ni mama....Khaaa!Kwa hio Harmonize ni bora kuliko ali kibakuli ?
Tupambane kufikia kupata mafanikio alonayo kuliko kutumia muda mwingi kumdhihaki.. Kumbuka miaka sio umri... Na wakati si mileleEti ivi ikitokeya Ali kiba akaenda kutumbwiza South Sudan ao mayotte ..ataimba kitu gani ili waweze kumuelewa?? Ao atabana puwa ajikamuwe hadi wamuelewe kama anaimba like Madonna?
Bila connection ni ngumuKiba ni mwanamuziki mzuri ila anazidiwa na dimond kwenye mambo kadhaa,
management ya kiba inatakiwa iongeze nguvu kwenye soko,
Sehemu za maana harmonize amepiga show kiba hajawahi fika Ni zipi..naKwa Sasa hivi ukimtoa diamond anaefuata ni harmonize,harmo amemzidi kiba kwa kufanya vizuri kuanzia ndani Hadi nje ya nchi hata ukiangalia kiba show zake za nje ya nchi anafanyia kwenye club heshima itakujaje? Hata ukiangalia huu mwaka amepata show chache Sana harmo anafanya show kwenye sehemu ambapo kiba tokea aanze kufanya mziki hajawahi kwenda anaishia kuona kwenye ramani tu.
Kumchukia Mtu Haimaanishi Ndo Iwe Tiketi Ya Kumsemea Mbovu Ilhali Watu Wanaona Na Wanamjua.Kwa Sasa hivi ukimtoa diamond anaefuata ni harmonize,harmo amemzidi kiba kwa kufanya vizuri kuanzia ndani Hadi nje ya nchi hata ukiangalia kiba show zake za nje ya nchi anafanyia kwenye club heshima itakujaje? Hata ukiangalia huu mwaka amepata show chache Sana harmo anafanya show kwenye sehemu ambapo kiba tokea aanze kufanya mziki hajawahi kwenda anaishia kuona kwenye ramani tu.
Eti ivi ikitokeya Ali kiba akaenda kutumbwiza South Sudan ao mayotte ..ataimba kitu gani ili waweze kumuelewa?? Ao atabana puwa ajikamuwe hadi wamuelewe kama anaimba like Madonna?
South Sudan na mayotte ... Kiba ashawahi fika apo ???Sehemu za maana harmonize amepiga show kiba hajawahi fika Ni zipi..na
Naombeni kujulishwa tfadhali
Hizo zote za hapahapa..harmonize aliwahi fika ufaransa, ujerumani, Australia, na hata Sweden kupiga show..South Sudan na mayotte ... Kiba ashawahi fika apo ???
kitu flani ivi watu wanakwepa kusema but umekisema harmo now is a big artist in Africa kwenye tuzo(eg afrimma) anawania category moja na akina Davido,diamond and wizkid pia kwenye tuzo za(aeusa) mwaka Jana ameshinda category ya best north east & south male artist .ameshafanya show nyingi .pia ni top 10 most viewed artist in YouTubeKwa Sasa hivi ukimtoa diamond anaefuata ni harmonize,harmo amemzidi kiba kwa kufanya vizuri kuanzia ndani Hadi nje ya nchi hata ukiangalia kiba show zake za nje ya nchi anafanyia kwenye club heshima itakujaje? Hata ukiangalia huu mwaka amepata show chache Sana harmo anafanya show kwenye sehemu ambapo kiba tokea aanze kufanya mziki hajawahi kwenda anaishia kuona kwenye ramani tu.
swali halina mashiko.Eti ivi ikitokeya Ali kiba akaenda kutumbwiza South Sudan ao mayotte ..ataimba kitu gani ili waweze kumuelewa?? Ao atabana puwa ajikamuwe hadi wamuelewe kama anaimba like Madonna?