1. Uwe unaandika kwa ukamilifu.Mimi nilpt ajal ya gar wkt Niko kazn nikavnj mkono ajar ni uxmbe w mwjir alkuw aktmia gar ya mizigo kam staff buss na cku ya ajal aliendsh gar raia wa kigen asie na vgzo mwenye asili ya china,nauliza
Nawezaje kudai fidia ya jumla ikiwa mwjir ana nilipa mshra na matibabu kw mjbu wa mkatba je NAWEZA ISHITKI KAMPUNI KWA KUNIVNJA MKONO MAKUSUDI NA KUDAI FIDIA YA JUMLA KWA MAZINGIRA YA AJALI YALIVO YALIYO NISABISHIA MADHARA?.
Nb.Hakuna tfrafic kesi iliyfngkiw dhud ya mwajili. Asante
Tarehe 8 mwez wa kwnz nilitaj ajali nikiwa kazini ajali ilihusisha gari tulilo kuwa tunalitumia kutok camp kwnda site gar lilikuwa Ni foton canter iliyo tumika Kama staff buss.wakati tunatoka site dereva alikuwa mchina kutokana na spidi alikt Kona gafra iliyo perekea Mimi na mwnzngu kuanguka mpk chini nikavnja mkono na kuumia kignja tang mwz wa 1 mpk Leo kignj hakfny kaz na mshahr wamenipngzia wananilpa nusu mshahr nashndwa kuendesha maish. Kwn cwez kufny Kaz yyte.1. Uwe unaandika kwa ukamilifu.
2. Hauna kesi hapo.
Mimi sio mwanasheriaTarehe 8 mwez wa kwnz nilitaj ajali nikiwa kazini ajali ilihusisha gari tulilo kuwa tunalitumia kutok camp kwnda site gar lilikuwa Ni foton canter iliyo tumika Kama staff buss.wakati tunatoka site dereva alikuwa mchina kutokana na spidi alikt Kona gafra iliyo perekea Mimi na mwnzngu kuanguka mpk chini nikavnja mkono na kuumia kignja tang mwz wa 1 mpk Leo kignj hakfny kaz na mshahr wamenipngzia wananilpa nusu mshahr nashndwa kuendesha maish. Kwn cwez kufny Kaz yyte.
Ivo ndo ilivo kuwa kwann kusiwe na kesi