Powell Gonzalez
JF-Expert Member
- Jun 28, 2023
- 843
- 1,630
Habari za muda huu wakuu, mimi nilikuwa na swali kidogo kuhusu DSE.
Hasa kuhusu namna ya kujisajili na namna ya kupata brokers.
Mwishoni mwa mwaka jana nilijisajili na nahisi nilitumiwa baadhi ya taarifa ambazo (kutokana na kutokuwa makini) nilizipoteza.
Nikajaribu kuforget password system inakuwa inaniomba CDS number which is either I don't know or I have forgotten it.
Wenye experience tafadhali.
Hasa kuhusu namna ya kujisajili na namna ya kupata brokers.
Mwishoni mwa mwaka jana nilijisajili na nahisi nilitumiwa baadhi ya taarifa ambazo (kutokana na kutokuwa makini) nilizipoteza.
Nikajaribu kuforget password system inakuwa inaniomba CDS number which is either I don't know or I have forgotten it.
Wenye experience tafadhali.