Nina swali kuhusu Jipu kuota sehemu za siri

Nina swali kuhusu Jipu kuota sehemu za siri

Orketeemi

JF-Expert Member
Joined
Feb 12, 2013
Posts
5,063
Reaction score
12,866
Jaman salam,
Jamani nauliza eti jipu likitoka sehemu za siri za msichana huwa ni tatizo gani au ni dalili ya nini?

Tafadhari naomba kujuzwa.
 
Nenda nae hospital kwa matibab zaid
au weka kapicha usaidiwe teh teh teh
 
Ni jipu kama majipu mengine haina ashiria lolote kwani sehem za siri pia ni sehem ya mwili...aende hospital akasaidiwe

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
 
Jaman salam,
Jamani nauliza eti jipu likitoka sehemu za siri za msichana huwa ni tatizo gani au ni dalili ya nini?
Tafadhari naomba kujuzwa.

Maana yake ni kwamba ana msongo wa mawazo sana na kwamba hampendi mpenzi wake lkn anashindwa jinsi ya kumwambia, hivyo ana mawazo mengi kichwani ambayo yanapelekea yeye kupata vipele au hata majipu ikiwa ni pmj na sehemu za siri!

Ushauri!

Kama ni Mpenzi wako tafadhali msaidie na uachane naye kwani hakupendi na amekuchoka!

 
Hilo jipu halina adabu hata kidogo yani halijaona sehemu nyingine hadi liote eneo la tukio?
 
  • Thanks
Reactions: THT
Maana yake ni kwamba ana msongo wa mawazo sana na kwamba hampendi mpenzi wake lkn anashindwa jinsi ya kumwambia, hivyo ana mawazo mengi kichwani ambayo yanapelekea yeye kupata vipele au hata majipu ikiwa ni pmj na sehemu za siri!

Ushauri!

Kama ni Mpenzi wako tafadhali msaidie na uachane naye kwani hakupendi na amekuchoka!

[

Likes Received75
Likes Given0Join Date : 14th November 2014Posts : 181
Rep Power : 340
Likes Received
75
Likes Given
0











upo serious mkuu au ugen tuu?
 
Siku moja jeshin nilipasuliwa jipu hospitali baada daktari kuniambia nivue nguo zote;mbele ya mabinti kibao wa mazoezi !
 
Dawa jipu lipasuliwe kama limekomaa na kama mwone tabibu akupe dawa liamie eneo jingine la mwili au atakushauri vingine.
 
Back
Top Bottom