Nina Swali.....???!

dmatemu

JF-Expert Member
Joined
Mar 14, 2008
Posts
956
Reaction score
551
Hivi unadhani bajeti ya kumzika Mengi ni shi’ngapi???
 
Haitazidi duka kubwa la jumla kariakoo, nyumba ya kisasa maeneo ya wazito, usafiri mzito, watoto watatu shule nzuri na akiba bank ya milion 50.
 
Hakuhusu wa hautuhusu na sisi pia nyie ndio mnaovamia msafara wa marehemu mbona ya ruge au kibonde hukuuliza.
Hivi unadhani bajeti ya kumzika Mengi ni shi’ngapi???
 
Bajeti yake ni ipo kwenye bajeti kuu ya mwaka wa fedha 2019/20. Tafuta bajeti ya mwaka huu usome kuanzia kipengele cha 6 kwenye sura ya 208.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…