Sky Eclat
JF-Expert Member
- Oct 17, 2012
- 57,761
- 216,011
Mkuu hii red wine mimi hainiletei effect zozotePunguza kunywa Red wine kama ni mtumiaji sana.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu hii red wine mimi hainiletei effect zozotePunguza kunywa Red wine kama ni mtumiaji sana.
Heheheee. Mbona mi nakunywa sisikii kitu. Walisemaga na savanna pia zina vichocheo ila mpaka naacha kunywa savana sijawahi kuchochewa kuonjwa. Au nina hisia za mbali eeh. Ila nikinywa na beb karibu hata chupa mbili tu za bia hamu za kuonjwa zinakuja kama mafurikoAsee basi hongera sana, mwili wako utakua unanguvu za kuhimili vichocheo vya hii kitu
Tendo la ndoa?kwani yeye yupo kwenye ndoa?Mkuu Malila,
Ni kweli vyakula navyo huchochea hamu ya tendo la ndoa. Ni vyakula gani? Vifahamu kupitia uzi huu > Vyakula vinavyoongeza hamu ya tendo la ndoa kwa haraka kwa mwanamke
Hata hivyo kuna madhara ya kushiriki tendo la ndoa mara kwa mara. Madhara yake yaliwahi kuelezwa kwa kina hapa > Madhara ya kufanya mapenzi mara kwa mara
Asante.