Kacheki hunnimefikiria hili swala unajua
Unakaribia kuzimuHabari...
Nina tatizo la kuhisi kiu ya maji kila baada ya dk 10-20 kwa wiki mbili sasa.
kwa siku nakunywa maji lita mbili na nusu mpaka tatu, kiufupi najitahidi sana kunywa maji hata kama sina kiu ila sijajua hili tatizo linatokeaga wapi.
kama nimeeleweka vizuri naomba msaada.
Kua serious bas s kila kitu cha kuleta mzaha mzaha tu kama unaona huna cha kuchangia ungenyamaza tu ndugu yangu, wewe ni nani had umtabirie mwenzio kuzimUnakaribia kuzimu