Snipes
JF-Expert Member
- Jul 2, 2013
- 9,165
- 16,791
Habari...
Nina tatizo la kuhisi kiu ya maji kila baada ya dk 10-20 kwa wiki mbili sasa.
kwa siku nakunywa maji lita mbili na nusu mpaka tatu, kiufupi najitahidi sana kunywa maji hata kama sina kiu ila sijajua hili tatizo linatokeaga wapi.
kama nimeeleweka vizuri naomba msaada.
Nina tatizo la kuhisi kiu ya maji kila baada ya dk 10-20 kwa wiki mbili sasa.
kwa siku nakunywa maji lita mbili na nusu mpaka tatu, kiufupi najitahidi sana kunywa maji hata kama sina kiu ila sijajua hili tatizo linatokeaga wapi.
kama nimeeleweka vizuri naomba msaada.