Suguu
Muone DrMe miaka 24
Habar wakuu,
Niakianza kunywa pombe Kwa chupa moja tuh nakojoa kwenda chooni mara mbili nikinywa bia kuanzia 20 hapo ntakuwa nimeenda chooni mara kibao, mpaka naona aibu
Hii ni shida gani wakati mara ya kwanza sikuwa nayo ?
KabisaSuguu
VizuriSiwez kupata UTI mkuu kwahilo hapana
Mnajua kutupa izo UTI😂😂Suguu
Nanii?? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mnajua kutupa izo UTI[emoji23][emoji23]