Endelea na hio punyeto, tu,we kileleni unataka ufike kufanyaje na huna mbeguNi miezi takribani mitatu sifiki kileleni
Nimekutana na baadhi ya wanawake kwa kipindi hiki chote lakini bado
Ni hali ambayo inanisumbua ni heri uwahi kufika kileleni kuliko hili linalonipata
Mwenye msaada au tiba nitagharimia kwa atakayeweza nasumbuka mno
Mirija itakuwa imeziba au korodani + tezi dume hazifanyi kazi inavyotakiwa.Simwagi aisee hata nikoma masaa matatu ila bado sifanikiwi
hamwagi nini mkuuPole sana mkuu
Haufiki kileleni means haumwagi kabisa?
Asante mkuuMhhhh pole
Ni miezi takribani mitatu sifiki kileleni
Nimekutana na baadhi ya wanawake kwa kipindi hiki chote lakini bado
Ni hali ambayo inanisumbua ni heri uwahi kufika kileleni kuliko hili linalonipata
Mwenye msaada au tiba nitagharimia kwa atakayeweza nasumbuka mno
Tangazo gani sasa hapo au umekariri!π€Lipia Tangazo mkuu..