Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Si unaenda kileleni mkuu, acha kupita marangu badilisha njiaSijakuelewa
,42Umri wako?
Umejaribu kula karanga na mihogo mibichi na nazi?,hebu jaribu tuoneNi miezi takribani mitatu sifiki kileleni
Nimekutana na baadhi ya wanawake kwa kipindi hiki chote lakini bado
Ni hali ambayo inanisumbua ni heri uwahi kufika kileleni kuliko hili linalonipata
Mwenye msaada au tiba nitagharimia kwa atakayeweza nasumbuka mno
Mada tata zaidi 2023. We mhuni kiboko umewaza nini? Au unafuck na Misukule nini?Ni miezi takribani mitatu sifiki kileleni
Nimekutana na baadhi ya wanawake kwa kipindi hiki chote lakini bado
Ni hali ambayo inanisumbua ni heri uwahi kufika kileleni kuliko hili linalonipata
Mwenye msaada au tiba nitagharimia kwa atakayeweza nasumbuka mno
Huo ndo ukosefu wa nguvu za kiume. Sio kuwah kumwaga.Ni miezi takribani mitatu sifiki kileleni
Nimekutana na baadhi ya wanawake kwa kipindi hiki chote lakini bado
Ni hali ambayo inanisumbua ni heri uwahi kufika kileleni kuliko hili linalonipata
Mwenye msaada au tiba nitagharimia kwa atakayeweza nasumbuka mno
Kama nane
😂😂Mirija itakuwa imeziba au korodani + tezi dume hazifanyi kazi sawasawa.
Vinginevyo mwalimu wako wa Marketing ni gwiji hasa na alikupika vyema ukaiva 😁
NakaziaLipia Tangazo mkuu..