alovera
JF-Expert Member
- Oct 17, 2012
- 220
- 173
Nina tatizo la kuumwa sana kiuno,wakati mwingine kinauma kinakuwa kama kinawaka moto hasa wakati wa usiku,nimetibiwa hospitali kadhaa kwa muda mrefu sasa (zaidi ya miaka miwili) ila sipati nafuu,naomba msaada kwenu wana Jf kwa yeyote anayejua dawa either za hospital au Tiba mbadala,ila za hospitali nimetumia sana ila sipati nafuu ya muda mrefu,napataga nafuu ya muda tu.